Mimi niligusisha kwa juu...Ananiambia ana mimba

Mimi niligusisha kwa juu...Ananiambia ana mimba

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
44,106
Reaction score
110,845
Eti baada ya mwezi mmoja akaja kuniambia tumbo limemjaa....[emoji45] [emoji45]
Hapa nawaza......
1: Mbona, sikuwahi zama..!?
2: Mbona, skuhiyo aliisogeza (kyupy) pembeni..!?
3: Au, mimba nili iingiza kwa ulimi nilipo pandishia ulimi kwenye fudi ya watoto..!?
4: Pengine nilimtunga ile asubuhi wakati wa kupiga mluzi pale kazi..!?

Aggghhhhh........[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Kwa hiyo ulipiga brashi juu juu tu Mkuu? Wazungu walikuja? Ulihakikisha wazungu wameingia kona ipi Mkuu?

Eti baada ya mwezi mmoja akaja kuniambia tumbo limemjaa....[emoji45] [emoji45]
Hapa nawaza......
1: Mbona, sikuwahi zama..!?
2: Mbona, skuhiyo aliisogeza (kyupy) pembeni..!?
3: Au, mimba nili iingiza kwa ulimi nilipo pandishia ulimi kwenye fudi ya watoto..!?
4: Pengine nilimtunga ile asubuhi wakati wa kupiga mluzi pale kazi..!?

Aggghhhhh........[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Kwa hiyo ulipiga brashi juu juu tu Mkuu? Wazungu walikuja? Ulihakikisha wazungu wameingia kona ipi Mkuu?
Comrade......
Nakuja chemba..[emoji25]
Ili aibu yangu isiwe yako.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sipati picha wewe mtu upoje??
Kuona ni hiyari.....[emoji5] [emoji5]
Kutazama ni lazima.....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ebu fungua jicho la 3.......
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Kwa sayansI ya kutunga mimba hata ukiiacha kwenye nguo ikakutana na ute hiyo tayari inatinga ndani yenyewe
Mimi ni Mtanganyika.
Natokea kijiji cha Katente, hapa Ushirombo, wilayani Bukombe...
Hakika nilipitwa na wakati hata sayansikimu sikumbuki mieee....[emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom