Mimi niligusisha kwa juu...Ananiambia ana mimba

Mimi niligusisha kwa juu...Ananiambia ana mimba

Kwa juu wapi ulipogusisha kama kwenye papuchi na kama alikua siku za hatari mimba lazima apate lea mtoto huyo
 
Kuna msemo humu huwa wanasema, shule zimefungwa sasa tutegemee vituko. Sijui kama utakua na uhusiano na Uzi huu ?
Mkuu.....
Kazi ya macho ni kuona, lakini kutaza ni your choice
 
Kwa juu wapi ulipogusisha kama kwenye papuchi na kama alikua siku za hatari mimba lazima apate lea mtoto huyo
Duh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mkuu, mbona hakuna nilipoandika papuchi....[emoji45] [emoji45]
 
Mimi ni Mtanganyika.
Natokea kijiji cha Katente, hapa Ushirombo, wilayani Bukombe...
Hakika nilipitwa na wakati hata sayansikimu sikumbuki mieee....[emoji22] [emoji22] [emoji22]
Makubwa hayo!!!!
 
Katakuwa ka mwanafunzi yako maana hawa watu wanazidakaga Juu Juu hewani mimba,sijui kwann?
 
Eti baada ya mwezi mmoja akaja kuniambia tumbo limemjaa....[emoji45] [emoji45]
Hapa nawaza......
1: Mbona, sikuwahi zama..!?
2: Mbona, skuhiyo aliisogeza (kyupy) pembeni..!?
3: Au, mimba nili iingiza kwa ulimi nilipo pandishia ulimi kwenye fudi ya watoto..!?
4: Pengine nilimtunga ile asubuhi wakati wa kupiga mluzi pale kazi..!?

Aggghhhhh........[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Hey
Ni nani magdalena au roze?
 
Labda ulipitiwa na usingizi akajihudumia mwenyewe hah hah...no way out inabidi uhudumie hiyo kitu la sivyo utakuwa hatiani tu kwa jinsi ninavyowajua hawa kina Hawa'
 
Back
Top Bottom