tulikuwa tunamsubiri Mentor tukaona tukate kwanza kanako ning`inia(twaluchemba ako kalikaningelaga bhabha) salama lakini ndugu mie mzima.
Mkuu Ntuzu mimi naongea Kiswahli safi. Mimi ni mtu wa pwani. Hii munayofanya sio tabia nzuri . Jirekebisheni.
Usalama uko wapi ndugu, nendeni PM mukaongee hayo mambo yenu. Mnaharibu thread yote kwa mambo ya ukabila.
Unajua Globu SISI ndio babu zako wewe Au wewe hufahamu Hilo? Kumwambia babu yako ajirekebishe unakosea sn! Maana Watu Wa pwani wakiongozwa Na wazaramo ni wajukuu zetu SISI wasukuma!
BTW tulikua tunapiga story tu kidogo Na porojo ZA hapa NA pale ZA kutuhusu SISI WENYEWE! Kua Na Amani Mkuu!
Usijali ila...........................................
Usalama uko wapi ndugu, nendeni PM mukaongee hayo mambo yenu. Mnaharibu thread yote kwa mambo ya ukabila.
Haya tumekusikia unajua tulinogewa na story ya Mentor tukaona si mbaya tuuze kadada ketu kwake,ukiwa siriazi na mambo madogo utapata presha bure take easy.
Mentor nkwela Mbona moyo wng unaanza kuugua? Maana hii KESHO sijui itakoma lini!?
miss neddy mwallu Ebu pitieni Huku mnisaidie kumtafuta Huyu Mentor
Aaaah TAKE IT EASY ahene Na natogwa!
Ngoja tubhonge sasa LUGHA KOLONI.
Yes yes Na No No nyingi!
Hii ni hadithi sio?!
Kwasababu kama ni kweli basi kuna vitu vingi concerning na polisi works ambavyo either kwa makusudi au bahati mbaya umeamua kutuingiza chaka...
ahahahahahahahaha
naseka mpaga misoji
Kama...
Jiandae kutoa tafsiri lasivyo.....
Samahanini ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 26 naitwa dioniz (champion) naombeni msaada wa karo maana maisha yangu ni magumu ikiwezekana mnipigie sm au ujumbe mfupi hata kujiunga na chama nitakuwa tayari ili mradi maisha yangu yawe mazuri.natanguliza shukurani.
Samahanini ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 26 naitwa dioniz (champion) naombeni msaada wa karo maana maisha yangu ni magumu ikiwezekana mnipigie sm au ujumbe mfupi hata kujiunga na chama nitakuwa tayari ili mradi maisha yangu yawe mazuri.natanguliza shukurani.
"...Siku hii nilipangwa lindo kwa mheshimiwa
waziri huyu. Ilikuwa lindo la asubuhi. Kama
kawaida na sheria, inatubidi tufike eneo la
lindo robo saa kabla ya muda wa lindo. Na
kawaida yangu nilikuwa napenda sana
kutunza muda. Hata askari wenzangu
walikuwa wakijua na wengi walikuwa
wakifurahi ukipangwa lindo ambalo Mentor
ndiyo anakuja kuku-leave unafurahi kwani
una uhakika wa kuondoka kazini kwa muda.
Tulifika nyumbani kwa waziri saa 05:45..." Sio kweli!!!!