Mimi ni Polisi: Kisa cha mke wa Waziri

Mimi ni Polisi: Kisa cha mke wa Waziri

Jamaa linazengua na kihadith chake cha ku pest toka ajue members wamekikubali imekuwa shiiiidaa.
 
Mimi si Askari ila nina rafiki zangu wengi tu wa shuleni ni maaskari mmoja yupo pale FFU Dsm na ndie aliyenihadithia hicho kisa yule inaonekana yule mama alikuwa na dharau sana kwa askari japo ndo watu waliokuwa wanakesha nje yeye kalala ndani na familia yake wakiwa salama kabisa...

Bahati mbaya labda ungekuwa umevurugwa siku hiyo na unasilaha ingekuwaje?!

Kaka Rapherl, nilikuwa na silaha ila nadhani mafunzo niliyopitia si rahisi mimi kupandwa na hasira kwa neno dogo hivyo hadi kufikia kutumia silaha!

Muulize huyo rafiki yako japo kiduchu tu akuelezee depo kunakuwaje na walimu hutumia mbinu ipi kuwafanya msipandwe na hasira ovyo hata kwa vineno vidogo vidogo vya raia!


Mheshimiwa rudia hesabu vizuri utagundua kuwa tarehe zako hazi-balance. Ni vigumu mtoto wa darasa la sita wa mwaka 2001 kuwa mwaka wa kwanza chuo cha uhasibu Arusha mwaka 2008. Sana sana atakuwa Form six. Labda kama umesahau kuujuza kuwa alirushwa darasa la saba pia.

Mheshimiwa Tata, nashukuru kwa kuwa unaonesha umesoma vyema. Ni kweli kwa haraka haraka unaweza ukadhani nimekosea tarehe lakini (ukiachia kosa la kusahau kumwuliza tarehe salama binti Catherine) mimi huwa mfuatiliaji mzuri sana wa tarehe. Ni kweli Tinna alirushwa darasa la saba na kwenda moja kwa moja kidato cha kwanza shuleni Marian.
 
Last edited by a moderator:
Lazima tina alikukamata tu. Sijui ulimwambia nn. Kama ingekuwa mimi ningemuattend bila kujali kuwa namfaham, na kama akiniuliza hbr zangu namwabia yule pacha wangu
 
Lazima tina alikukamata tu. Sijui ulimwambia nn. Kama ingekuwa mimi ningemuattend bila kujali kuwa namfaham, na kama akiniuliza hbr zangu namwabia yule pacha wangu
ntamaholo ndugu yangu... (you will be shocked!)
 
Last edited by a moderator:
Kaka Rapherl, nilikuwa na silaha ila nadhani mafunzo niliyopitia si rahisi mimi kupandwa na hasira kwa neno dogo hivyo hadi kufikia kutumia silaha!

Muulize huyo rafiki yako japo kiduchu tu akuelezee depo kunakuwaje na walimu hutumia mbinu ipi kuwafanya msipandwe na hasira ovyo hata kwa vineno vidogo vidogo vya raia!




Mheshimiwa Tata, nashukuru kwa kuwa unaonesha umesoma vyema. Ni kweli kwa haraka haraka unaweza ukadhani nimekosea tarehe lakini (ukiachia kosa la kusahau kumwuliza tarehe salama binti Catherine) mimi huwa mfuatiliaji mzuri sana wa tarehe. Ni kweli Tinna alirushwa darasa la saba na kwenda moja kwa moja kidato cha kwanza shuleni Marian.

Alisoma Marian na hajui statistics!! Story ya kusadikika Mentor..
 
Last edited by a moderator:
Alisoma Marian na hajui statistics!! Story ya kusadikika Mentor..

Kama ambavyo nawe umesadiki Tinna alinitafuta kwa lengo TU la kufundishwa hesabu! Get serious MBIIRWA.

Secondly, kusoma Marian haimaanishi wewe ni 'all-knowing' I have a reason why I wrote that..and yes, alisoma Marian na hajui Statistics... :israel:

Nonetheless, tuendelee...
 
Last edited by a moderator:
Du!! huyu jamaaaa kwa kesho ni balaa...........................!
 
Back
Top Bottom