drakeman
Member
- Apr 20, 2025
- 19
- 21
Hello,
How are you guys, kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1. Mrefu mweusi
2. Umri wangu 30
3. Graduate, Christian
4. Muajiliwa/ nimejiajiri pia
,wala sivuti sigara, wala siendi club
5. Ninaishi Dar es salaam
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto
2. Umri lazima uwe na 18 hadi 32
3. Uwe na shughuli za kukuingizia kipato
4. Msafi wa mwili na roho
5. Uwe na akili timamu, (hapa nakazia)
6. Usiwe mnywaji, mvutaji wala malaya
7. Akili kichwani hapa nirudie tena
How are you guys, kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1. Mrefu mweusi
2. Umri wangu 30
3. Graduate, Christian
4. Muajiliwa/ nimejiajiri pia
,wala sivuti sigara, wala siendi club
5. Ninaishi Dar es salaam
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto
2. Umri lazima uwe na 18 hadi 32
3. Uwe na shughuli za kukuingizia kipato
4. Msafi wa mwili na roho
5. Uwe na akili timamu, (hapa nakazia)
6. Usiwe mnywaji, mvutaji wala malaya
7. Akili kichwani hapa nirudie tena