Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kuna watoto tangia anaanza hadi anamaliza hajawahi kuguswa hata na mwalimu hata kumkaripia tu, watoto walio lelewa wakaleleka, sasa hii minunda inayokunjana na hadi wazazi wao eti uichekee!!!
 
na hizi media za cku hizi kila kitu haki sawa,mtoto akikushind ww hakuna hata wa kumgusa tenasi uraiani wala shuleni
Kuna watoto tangia anaanza hadi anamaliza hajawahi kuguswa hata na mwalimu hata kumkaripia tu, watoto walio lelewa wakaleleka, sasa hii minunda inayokunjana na hadi wazazi wao eti uichekee!!!
 
kuna siku nilimchapa mtoto eti akajiangusha na kujifanya kazimia, niwaambia wenzie wamlaze nje kwenye jua.....wee mbona alizinduka
 
Are you afraiding that I could be your daughter's teacher ?
molesting do not suit me !! am a descipline master !!!
Discipline master who says don't be naive that your daughter is safe in schools?
 
Dogo mlaini halafu anajifanya nunda....

Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu ... Wale waalimu walikuwa wanamfunza huyo dogo. ...


Serikali inakomalia utafikiri yametokea mauaji ya kimbari
 
Umeongea kwa uchungu madam mpenda pesa, pole mwee
 
kuna siku nilimchapa mtoto eti akajiangusha na kujifanya kazimia, niwaambia wenzie wamlaze nje kwenye jua.....wee mbona alizinduka
Hahahaaaaa!!! Yaani hawa watoto jamani full drama.
 
Naona umechefukwaaaa kama mimi.
Afu wale vimbele front mbona sa hivi siwaoni?
Au walikuwa wanapima kina cha maji kwa toothpick?
Wamelala, wasije tu Wakatuota tunawatembezea kerbu maana wanatamani kumeza walimu wote.
 
Hahahaaaaa!! Yaani abutue baruti kwenye kipindi!! Haki hii mitoto ndio dizaini hii hii ya jf.
Acha tu.
Afu mtoto kama huyu anayetaka kukuua kwa presha ndo unamuacha tu kihasara hasara, weeeee!!!
Hamna hiyo.
 
Acha tu.
Afu mtoto kama huyu anayetaka kukuua kwa presha ndo unamuacha tu kihasara hasara, weeeee!!!
Hamna hiyo.
Wawalee watoto wao kabla hawajatuletea murder case, maisha yenyewe stress alafu eti mtoto wa mtu nae aniletee stress!! Nawaza pesa mie siwazi toto la mtu liloshindikana.
 
Dogo mlaini halafu anajifanya nunda....

Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu ... Wale waalimu walikuwa wanamfunza huyo dogo. ...


Serikali inakomalia utafikiri yametokea mauaji ya kimbari
Ya Said wa Scorpion washasahau, wanaibuka na lingine.
Kazi hii jamani,
Hakimu wewe, daktari wewe, mlinzi wewe, mzazi wewe, mwamuzi wewe, ......n.k
Tutaacha kupata moto kichwani?
Watuache jamani.

Wanajifanya dunda, akija kwa ofisi ananywea kama nyanya iliyopoa barafu
 
Wamelala, wasije tu Wakatuota tunawatembezea kerbu maana wanatamani kumeza walimu wote.
Watumeze, tutawapasua matumbo yao tutoke.
Zazi bishi, toto bishi.
Afu katika shule ninayofundisha, % kubwa ya wanafunzi wanalelewa na mabibi zao.
Full kudekezwa, ila ni minyoosho tu wakifika skonga.
Ibada njema inaanzia nyumbani, tabia njema huanzia kwa mzazi.
Wapo wazazi walevi na wazinzi lakini katika suala la elimu wako strictly.....ila wenzangu na mimi sasa, wabishi kama kabila flani.
Acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…