Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,611
- 2,171
Pongezi kwa waislamu.
Pongezi nyingi sana kwa kweli
Pongezi kwa waislamu.
Katazame Muhimbili kwenye wadi walizolala wagonjwa. Asubuhi watu wakiingia kuwaona wagonjwa, viongozi wa kiislam wanabeba chupa za uji na chai na mikate na kuwatilia wagonjwa wote kwenye vyombo vyao. Lakini viongozi wa kikristo wanabeba Biblia tu mikononi mwao na kuwaombea wagonjwa.Mwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Punguza chuki.Hapa Unakosea, hakuna tawala na awamu za hovyo kama za Hawa.Ni awamu zinazotawaliwa na Rushwa na ufisadi mkuu na uvivu wa watendaji. Ni watu wa matamko zaidi kuliko utendaji
sio chuki mkuu ni facts, kwani ni awamu zipi zenye sifa za kusafiri nje ya nchi bila umuhimu?Punguza chuki.
Nilishajua lengo lako bro madrasa ipi unaizungumziaWewe inaonyesha hata madrasa haujawahi kugusa kwasababu haujui chechote kile
Makosa binafsi.. Islam kma dini iko mbele sana katika Haki... Nimewahi kuumizwa na muislam mwenzangu... Ilaa niliangalia nikagundua.. kosa si ISLAM KAMA DINI.. Ila makosa ya mtu binafsi. NilisameheMshangao jamii jamii masikini zaidi ni ya wenye miskiti
Nachukiwa nje ila ndani Ninapendwa.Hahahah!!! Naona mkuu liqud hapo umeenda sawa na huyu mtu
Aaaah!!! We nani anakupenda wakati mtu mwenyewe hauishi Dar upo Bunda halafu unadanganya ww mtoto wa townNachukiwa nje ila ndani Ninapendwa.
Kama Mwamposa anaponya, mwambie aende Muhimbili atawakuta Wagonjwa wengi aende akawaponye ili waokokeSasa mbona Waislamu wengi wanajaa kwa Mwamposa kila siku kwenda kuokoka!?
Wakt mwingine una akili eti sema nn punguza matusiMwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Sahih kbsa temeke Kuna upendo Sana hata kijana wa mtaani akiwa panya road anashauriwa kbsa hasije kuaribu tu maeneo ya mtaani hapo hapo hawatamuelewa wanasema asinyee kambi tu ila kwingine akaharibu na hata akiwa anatafutwa watamsitiri kijn wao Wana upendo mnokwenye kusaidiana waislam wako vizuri sana ...ww pata shida mfano.Goba huko gari imenok uone kama kuna mtu atakusaidia ..njoo temeke utasaidiwa kusukumwa hata na utashangaa
Najifunza kitu kizuri sna kutoka kwenu haswa kwa uku mjiniAcha kupotosha watu wewe
mimi kwa mfano nina bomba la dawasa na natoa maji bure kila ijumaa kama swadaka kwa watu wa dini zote na nimepewa pesa na mturuki gani?
Kama hujua swadaka ya maji ni miongoni mwa swadaka zenye kuendelea....... Sisi tunaamini kwamba ukichimba kisima watu wakatumia maji hata ukifa kama watu wanaendelea kupata huduma ile unahesabika kama unaendelea kutenda mema na malipo yake unayapata milele
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Ukweli mtupu popoma kasema .nawashanga Sana huu upande wetu tunachangishan mipesa mikubwa na Kisha kwenda kujenga mashule na mahosiptali zao lkn huduma Bei zake sas usipime ,mfno Almc ,Arusha Lutheran medical center zamani selian Bei za humuda za pale siyo rfkKwa dhati kabisa Tanzania naipenda Sana
Tutakwaruzana tutasemana ktk Imani zetu lakini kwenye ukweli tupo pamoja
Muishi Maisha marefu wote mliochangia mada kwakusema ukweli hata kama nyinyi sio waislamu
Nawapenda Sana.
Mkuu Genta,Mwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Kuponywa ni lazima uwe na imani KwanzaKama Mwamposa anaponya, mwambie aende Muhimbili atawakuta Wagonjwa wengi aende akawaponye ili waokoke
Mkataa kwao mtumwa. Jikubali mkuu. Mbona Konde Boy katoka Mtwara kaja Dar mtu mzima lakini anakubalika na kuheshimika?Vijana wa Kiume watoa 'Nukudi' zenu huwa mna matatizo makubwa sana mkishabobea 'Kunukudiwa' nao.
Cc: LIKUD