Kisa umesoma anatomy ndo unaanza kujilinganisha au?Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist
Mimi nasema kwa sasa katika ya medical laboratory scientist na MD bora ni medical laboratory scientist
Tulia kijana wa sayansi shirikishi
Lazma nivimbe afuu vyote apoo nasom kasoro surgery mr😂😂😂Kisa umesoma anatomy ndo unaanza kujilinganisha au?
Lab huwa hasomi embrology
Lab huwa hasomi surgery
Lab huwa hasomi pharmacology
Ni mengi banah tukiorodhesha hapa..
Ungesema anathibitisha mgonjwa anaumwa ugonjwa fulani ni Lab hapo ungeeleweka.
Anway piga msuli kijana naona lab coat inakufanya unavimba