Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 218
- 740
Wana JF,
Naomba kuuliza kwa sasa course gani ni nzuri kati ya hzo kwenye soko la ajira maana ndugu yangu amechaguliwa clinical officer (Ndolage) na Medical laboratory Bugando.
Ipi ni bora ukizingatia soko la ajira kwa sasa.
Asanten
Naomba kuuliza kwa sasa course gani ni nzuri kati ya hzo kwenye soko la ajira maana ndugu yangu amechaguliwa clinical officer (Ndolage) na Medical laboratory Bugando.
Ipi ni bora ukizingatia soko la ajira kwa sasa.
Asanten