walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Tuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewendani ya swaga
.
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamanimnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
Upo nchi gani kwa Sasa?,inatokana mguu Mimi Nina mpenz wqngu uko Tanzania nimemgaramia za kutosha na mapenzi bado Kila mtu hapati mda na bado tunapendana Sana. Kama mtu ukimpenda moyoni hakika utamuona kama ndugu kwa upendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume unamjua kwa matendo yake maneno na ushauri anaoomba kwa wenzake kuwa kwanza no fikra ndyo utaelewa
Point mzee babawanaume tuweni na mioyo mipana na piah tuwe na vifua, tuna haja ya kuwasitiri wanawake maana wao hizi shughuli za kuchambana ndo zimeumbwa kwa ajiri yao..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio jfkama mada ndo ingejadiliwa sizan kama tungefika huku kote, mbona watu hatupendani iv...
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ya tochi
Hayo maandishi umefundishwa wapi? Yatumie ukiwa unachat na washkaji zako, epuka kutumia hayo maandishi kwenye mambo ya maana, watu hawatakuchukulia serious
Hayo maandishi umefundishwa wapi? Yatumie ukiwa unachat na washkaji zako, epuka kutumia hayo maandishi kwenye mambo ya maana, watu hawatakuchukulia serios
Nimemchukulia Kama mwanafunzi wa O 'level ambaye anadhani hayo maandishi ndio usomi wwnyeweUmemchukuliaje?
Hiyo modelTuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewendani ya swaga
.
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamanimnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
Simu ya sh. 15,000, pia lotion zipo mpaka za 500 shida iko wapiEti analalamika alikatika kama elf 50 (yaani kwa mchanganuo wa Kununua simu, Lotion, na pocket money) sasa kwa mgawanyo upi, na hiyo simu ya bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app





Nimemchukulia Kama mwanafunzi wa O 'level ambaye anadhani hayo maandishi ndio usomi wwnyewe
My intention was good but imeleta balaah , am sorry pale nilipo kukwaza, we are here to love one another not to hate each other, my apologies...Daah mkuu unachamba lol.
Umeshinda mkuu umenizidi viwango vya uchambaji. Usinichambe zaidi nitakimbia jf. Siku njema
Thats Khantwe katika ubora wake mtu na hekima zake, umeongea vyema,Asante kwa kuelewa, wakati mwingine mtu anaweza kukuprovoke makusudi tu ili utapike apate sababu ya kukushusha. Tufanye umeteleza tu jifute vumbi endelea na safari
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mkuu unachamba lol.
Umeshinda mkuu umenizidi viwango vya uchambaji. Usinichambe zaidi nitakimbia jf. Siku njema
Samehe saba mala sabini,
Mimi nilikua najifunza unafiki tu kidogo, kweli haufai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha fujo, sema mihemko mibaya sana