Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

🤣🤣🤣🤣🤣

Tuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ndani ya swaga[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]mnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
 
Tuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ndani ya swaga[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]mnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
Hiyo model

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetoa 50 tu unataka kula mzigo watu wanahonga mpaka bahari na bado wanakosa.

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
Daah mkuu unachamba lol.
Umeshinda mkuu umenizidi viwango vya uchambaji[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Usinichambe zaidi nitakimbia jf. Siku njema
My intention was good but imeleta balaah , am sorry pale nilipo kukwaza, we are here to love one another not to hate each other, my apologies...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom