Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mimi ndo uyo mi enyewe aya yalishanikumbuka nkaachwa get alikuwa mara yake ya kwanza anaogopa Amalia Sana na kwa Hurruma yang nampenda nikuwa naon uchungu Sana na chozi lake Ila namshukuru mungu tulijipingaga upya Hawani nyingine
IMG_20190112_203900_090.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kweli hawa si ndiyo wakina slay queen, kazi ni kutafua attentions maana sioni kama ni sheria lazima kila uzi mtu utie coment sasa haka kanijiita baby doll anamkejeri jamaa mavazi yake unajua ni ujinga sana, kazi ni kutafuta attention ili vijana wakurupuke waende pm huko ni ujinga nimeona nisikae kimya nimpe muongozo ingawa nimeambulia matusi nmegundua ni stress za kukosa bwana

Sent using Jamii Forums mobile app

Una tabu wewe. Wanaume wakutafutwa jf wapi hao? Halafu ngoja nikwambie kitu siyo kila mtu yupo jf kutafuta bwana. Wanaume wenyewe ndiyo kama wewe??bora nife.
Sasa kama akili zako zinakuambia kila anayecomment jf anatafuta bwana unataka nijutie kukuita fala? Trust me unastahili hilo jina.
 
Mwanamke wa sampuli hii unaweza juwa maisha anayoishi na mahala anapokaa hususani mwanamke mwenye utulivu zero na mropokaji, matusi kwake ni fasta, eti falaa nimemshangaa sana, ana stress sana nimeona nisibishane nae asinitafutie ban, eti hana cha kushauri amelazimika kujadili vazi la mwanaume kwani ni lazima aseme kwamba ni sheria sasa kila uzi uandike kitu, ana ujinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wadada wengi wana kihoro!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
,inatokana mguu Mimi Nina mpenz wqngu uko Tanzania nimemgaramia za kutosha na mapenzi bado Kila mtu hapati mda na bado tunapendana Sana. Kama mtu ukimpenda moyoni hakika utamuona kama ndugu kwa upendo
Unaeza toa kwa dem hata mamilion lkn kama unapata kifuta jasho, huoni hasara, lkn unaeza toa hata jero lkn kutokana na uzinguliwa ikakuuma sana..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Una tabu wewe. Wanaume wakutafutwa jf wapi hao? Halafu ngoja nikwambie kitu siyo kila mtu yupo jf kutafuta bwana. Wanaume wenyewe ndiyo kama wewe??bora nife.
Sasa kama akili zako zinakuambia kila anayecomment jf anatafuta bwana unataka nijutie kukuita fala? Trust me unastahili hilo jina.
Mungu anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom