Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mdogo wangu basiii, usipende kutukanana na watu usiowajua dunia duara hii eti

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mimi naacha.
Ila kama mtu nimecomment kitu hajapenda kusema natafuta attention za wanaume siyo vizuri.
Na wanaume wa huku ndivyo walivyo, ukipishana nao silaha yao ni single maza, unajiuza, unadanga, unatafuta bwana. Hizi tabia siyo nzuri.
Mimi Dada sijawahi kugombana na mtu humu na huyu ndiyo wa kwanza tangu nimejiunga jf.
Kwa heshima yako naishia hapa na kuondoka kabisa kwenye huu Uzi.
 
dogo humu sio facebook halafu kipindi fulani nilipokua mkoa mmoja nchini tanzania eneo moja hivi nikawa napiga story za vijiweni hapa na pale nikagusia kidogo story nilioisoma jamiiforum wadau wakacheka sana wakasemaa kumbe upo jamiiforum mtandao wa kutafuta wachumba kiukweli nilishangaa sana kumbe mtaani kuna watu wanajua jamiiforum ni mtandao wa kutafuta wachumba .. kwa style za aina hii dogo unabidi urudi facebook... sura yenyewe haina mvuto wowote unaiweka humu na hizo nguo za kishamba kishamba au kisa umepiga picha kwa canon😀😀
 
Unapuyanga tu hakuna lolote linaloweza kunigusa apo matusi hayasidii hasa kwa mtu usomjua shots...bye
Sahivi unasema kama matusi hayasaidi, sio wewe ulieanzisha upuzi huu, ulimwambia mwenzako alete tusi lingine lile halifai, ulidandia coment kwa manufaa gani kama sio kundu linakuwasha. Jiheshimu utaheshimika,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katikati ya mwaka jana nilibahatika kumpata binti mmoja kwa jina la Rachel, mwanzo wa kujuana nae ni pale alipokuwa akipita asubui na mapema akienda shule, alinifanya kila siku saa12 kuwa macho ili kumsubr nionane nae akipita, nlimweleza hisia zang na akanielew, bint huyu ni mcha mungu ktk iman yang hvo kwa 90% alinifanya nianze kuhudhuria ibada(kabla yake nlikuwa nishaanza kurud nyuma kiiman).

Kama ilivo kawaida kwa wadada kuomba mahitaji ya hapa na pale kwa wapenz wao nami piah nlianza kumhudumia kuanzai lotion, akiugua, na vi2 vingine kibao(hali ya kimaisha ya kwao yapo low) piah nilimuomba nmununulie cm ili npate kiurahc kutokana na mazngra anayoish, nkanunua cm, piah nakampatia line yang, nkamuunganishia cha msg, ktk cm hiyo nlimuomba iwe special kwa ajir yang me na yy2. na nkaji-save kwake 2be

Wanafunz wakafunga shul akadai ataenda likizo ushirombo hvo nkamuomba animegee kdogo 2nda lang, lkn akawa kazingua kwa kudai yupo dangerous day, nkaxema icwe kec, mara baada ya kutoka likizo kama wik2 baadae nkawa nmepanga nae promise ili nkapate kifuta jasho maana nlikuw nxhatoboka kama 50elf, akadai hamna shda, lkn mda 2liopanga kuw 2taonana nae ghafla akawa katoweka online, kufuatilia akawa kadai msg zimekata, akaja ghetto akaw kaniachia phone yake ili nmuungie msg kisha akaelekea kwao me akaniacha ghetto, xa hapo kimbembe ndipo klianza, nlikutana na no. za wanaume tena wale mangosha, kubwa zaid ile me kujisave 2be, akaiedit na kunisave jina lang la kawaida nkajarbu kupiga moja kati ya zle no. yaan ckuamin mackio yng lilikuw ni bonge la m'baba araf kisw halijui hata ha2kuelewana, kingne ni upand wa msg, asee ka2miwa mummy,honey,my kama zote hata nlipokuja kumuulza mlengwa kuhuxu hao wa2 bado alixema at hawajui, bac ckutaka shobo,mambo yalikuw kibao na kubwa zaid ni kuninyima para, had iv leo cpo nae kutokana na mambo ambayo aliendelea kunionyeshea, mwanzo me nkajua ni bint mweny ashima ambae ntapanga nae maisha ikiwemo kumuoa atakapo malza xhul lkn mambo yakawa tofaut, tena mbay zaid ni kuw wanaume wenzang tena wengne mafala wanakula bila mpangilio ila me nkimuomba anadai anaogopa mimba tena kwa vitisho vya hatari, sasa nachojiuliza ivi hawa wadada kwann ukiwapenda hawapendeki, piah kwann kama wameamua kuwa chama la wana kwann wengne 2nanyimwa, asee inauma saaana hasa kwa mtu nlimpenda.. View attachment 1000914

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wewe ni limbukeni.
Mdogo halafu unakiherehere ndio maan watu hawaletewi shobo siku hizi sisi tunataka mazee ndio yatuoe sio vitoto kama nyie kapige mswaki ule kachakula ka home nenda kadownload movie uangalie hakuna boya kama sisi zamani wakupotezewa muda kama wewe now utampa nini zaidi ya kumnunulia kifurushi hata kumkaza huwezi.
Unamchafua tu unazani hajui aliniambia huwezi.
Unamchafua tu .
Shenzi badala ya kusoma uwe waziri unawaza mapenzi.
Raisi angeweka hii sheria kuanzia daralasa la nne mpaka chuo msako ufanywe ukikutwa unampenzi shule au chuo ufungwe miaka 30 shenzi type kabisa.
 
Dada mimi naacha.
Ila kama mtu nimecomment kitu hajapenda kusema natafuta attention za wanaume siyo vizuri.
Na wanaume wa huku ndivyo walivyo, ukipishana nao silaha yao ni single maza, unajiuza, unadanga, unatafuta bwana. Hizi tabia siyo nzuri.
Mimi Dada sijawahi kugombana na mtu humu na huyu ndiyo wa kwanza tangu nimejiunga jf.
Kwa heshima yako naishia hapa na kuondoka kabisa kwenye huu Uzi.
Asante kwa kuelewa, wakati mwingine mtu anaweza kukuprovoke makusudi tu ili utapike apate sababu ya kukushusha. Tufanye umeteleza tu jifute vumbi endelea na safari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dogo humu sio facebook halafu kipindi fulani nilipokua mkoa mmoja nchini tanzania eneo moja hivi nikawa napiga story za vijiweni hapa na pale nikagusia kidogo story nilioisoma jamiiforum wadau wakacheka sana wakasemaa kumbe upo jamiiforum mtandao wa kutafuta wachumba kiukweli nilishangaa sana kumbe mtaani kuna watu wanajua jamiiforum ni mtandao wa kutafuta wachumba .. kwa style za aina hii dogo unabidi urudi facebook... sura yenyewe haina mvuto wowote unaiweka humu na hizo nguo za kishamba kishamba au kisa umepiga picha kwa canon😀😀
khaa eti mtandao wa kutafuta wachumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka nakusihi tena, busara ichukue hatam sioni sababu ya kubishana ivi maana kuna sababu ya kujifanya huoni hayo unayoambiwa... Naamin unaweza kujizuia, kuna watu ambao hata uwatukane vp ni vichwa vigum, jizuie.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom