Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

aisee bob bado una mambo za kishamba na utoto (sorry kama si neno zuri kwako).
1. Mapicha picha hayo ni tabia wa kingosha tena wale wasiojua hata kiswahili. Ni utoto na ushamba.

2. Kuji'save 2be, ni kujipendekeza na shobo zahali ya juu. Kwa nini uteseke!! Ishi kiume uone kama hawajaku'save wenyewe majina mazuri mazuri.

3. Ku'consider hela tena kwa mwanafunzi ni umaskini wa akili. Hela yenyewe 50 ndio unaongea mbele ya wanaume wenzako wanaotoa laki 2 kila mwezi kwa ajili ya wapenzi wao. Acha hulka za kuhonga. Ikitoa hela toa kama msaada wala usitake kufidia kwa jambo jingine.

NB: tafuta pesa sio mademu, hao siku hizi sio wa kuhangaikia hivyo, ni kugusa tu wanajaa wenyewe, ila tu kama utaishi kiume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee bob bado una mambo za kishamba na utoto (sorry kama si neno zuri kwako).
1. Mapicha picha hayo ni tabia wa kingosha tena wale wasiojua hata kiswahili. Ni utoto na ushamba.

2. Kuji'save 2be, ni kujipendekeza na shobo zahali ya juu. Kwa nini uteseke!! Ishi kiume uone kama hawajaku'save wenyewe majina mazuri mazuri.

3. Ku'consider hela tena kwa mwanafunzi ni umaskini wa akili. Hela yenyewe 50 ndio unaongea mbele ya wanaume wenzako wanaotoa laki 2 kila mwezi kwa ajili ya wapenzi wao. Acha hulka za kuhonga. Ikitoa hela toa kama msaada wala usitake kufidia kwa jambo jingine.

NB: tafuta pesa sio mademu, hao siku hizi sio wa kuhangaikia hivyo, ni kugusa tu wanajaa wenyewe, ila tu kama utaishi kiume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asipokuelewa hapa..akacheze mdako na dada zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi kama so zote unatakiwa uwe Kama unambaka vile ndio unakuwa Mwanzo has a akiwa ni mhehe au mnyakyusa.Angalizo Kama hakupendi kweli basis 30 inaweza kuhusu kwa makelele .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom