Mimi na MB ndo basi tena, nimepata mkombozi

Mimi na MB ndo basi tena, nimepata mkombozi

voda wahuN tu. ni kama ccm yani kwangu hicho kitu hamna ofa iliyopo ni 500- 300mb siku 7. siwapendi voda. wanaupendeleo
 
Kuna watu ni wagumu kuelewa,hii ni offer iko kwa watumiaji wa voda,kila mtu anapewa ya kwake japo sijajua wanatumia vigezo gani,nashangaa mnamponda mwenye uzi kua anapiga promo.Mi karibu mwaka sasa napewa 2 GB dakika 100 voda-voda na 10 mitandao yote siku 3.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] niko kwenye promo pia.
mi mwaka wa pili huu napata gb 5 kwa 2000 wiki nzima, na wameniongezea kama nataka ya 10000 gb 20 mwezi mzima.. ila nakomaa na 2000 tu ndo uwezo wangu
 
Kaambiwa na Voda afanye promo ya Voda Zawadi ni MB
hapana mkuu mm hapa naona wanasema Tsh 200 MB 300 kwa siku,Tsh 500 MB 800 kwa siku Tsh 600 MB 1000 kwa siku..naona kila mtu wanampa kivyake aisee jaribu na ww unawezakuta ofa nono zaidi,*149*03#
 
Unajua Hili Tatizo Halijaanza Jion Ni Tangu Juz Binafsi Nikawa Najua Ni Tatizo La Simu Yangu Kumbe Ni Note Duuuuhh

Mana Nikiweka Lain Nyingine Ipo Frsh Tuuu
Yaaaan mm tokea jana kila nikiweka salio sion chochote, leo ikawa kazi yangu nazima cm nakuwasha kumbe tatizo ni huko???? Simbilisi wakubwa
 
Unajua, mara nyingine mpaka najiulizaga, "hivi nimewakosea nini Vodacom?" [emoji17] [emoji17]
20180319_193457.jpg
 
Line zao zina support simu zetu?au mpaka tukanunue vile visimu vyao vya UIM CARD
Line za TTCL haziSupport simu zenye 2g na kushuka. Zinahitaji uwe na simu ya 3g au 4g kuitumia.
Na pia kama simu yako inaingiza line mbili na ina2mia either 3g na 2g au 4g, 3g, na 2g basi inakubidi uweke line ya TTCL kwnye 3g au 4g
 
Hii offer ni shida 500TZS unapata dakika 250 week nzima pia with 2000TZS unapata 5 GBs kwa week
 
Yani vodacom mm wananimaliza kabisa maana wana vifurushi vizur mno na vingi ni nafuu achilia mbali hata hicho cha ya kwako tuu
Vodacom they are the best ndio maana wana wateja wengi mno
Screenshot_20180422-174312.jpg
 
Back
Top Bottom