Mimi na MB ndo basi tena, nimepata mkombozi

Mimi na MB ndo basi tena, nimepata mkombozi

Daaah
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini

500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week

Daaah kiukweli mungu hamtumpi mja wakee
yaani hapa ni kushusha series na movie na software tuu

Jaribu bahati yako.
Mbona iyo ch mtt kw Halo
 
Nyie mnaopewa hayo ma GB bila shaka ni wateja wa miaka zaidi ya mitatu. Maana mie kwangu hio offer hamna kabisa. Nimesajili line mwezi huu mwanzoni
 
Nyie mnaopewa hayo ma GB bila shaka ni wateja wa miaka zaidi ya mitatu. Maana mie kwangu hio offer hamna kabisa. Nimesajili line mwezi huu mwanzoni
Hapana sio lazima wateja wa siku nyingi maana mwenyewe nina laini ya zamani na mpya . Ya zaman miaka 10 iliyopita napewa 1gb kwa 1000 siku 10 ila hyo ya miaka 2 napata 5gb kwa 2000 siku 30
 
Voda si utani wanajali wateja wao na sio kwamba ni tangazo la biashara ila wapo vizuri. Natumia tigo pia ila kama huna line ya chuo tigo bundle la internet hawana jipya. Ya kwako tu ni mkomboz kwel
 
[emoji22][emoji22][emoji22]voda wamenipunguzia mie
 
Lkn zinawahi kwisha
Hiyo mb 300 kwa wiki haichukui siku mbili zinaisha
Sio kweli. Mi ni mtumiaji wa Vodacom tangu 2004, voda wakikuambia wamekupa dk, sms au MB haziwezi kuwa pungufu, tena wanazidishaga. Mimi napewaga gb 3 natumia sizimalizi, youtube natumia hadi naona aibu.
 
hongereni. angalia kwangu nipo high tariff kama tanesco vile
IMG_20180319_162012_590.JPG
 
Daaah
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini

500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week

Daaah kiukweli mungu hamtumpi mja wakee
yaani hapa ni kushusha series na movie na software tuu

Jaribu bahati yako.
Axe na mi hyo kifurushi ninayo. Ni mori axee.
 
TTCL nao washaanza kua Famba toka saa 12 jioni mpaka sasa line haipandishi mnara manina naenda tafuta line ya voda asee ni ufamba ulopitiliza huu jamaa washaanza ku fail sasa.
Ukiona TTCL aipandishi imeishiwa nguvu za kiume tafuta dawa ya ujana au vumbi ya kongo
 
Back
Top Bottom