Micious
Member
- Apr 18, 2015
- 23
- 10
Mbona iyo ch mtt kw HaloDaaah
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini
500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week
Daaah kiukweli mungu hamtumpi mja wakee
yaani hapa ni kushusha series na movie na software tuu
Jaribu bahati yako.