jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,368
BureLeo naenda ofisini kwao sijui tu bei ya line zao itakuwa kiasi gani
BureLeo naenda ofisini kwao sijui tu bei ya line zao itakuwa kiasi gani
Ttcl daaaah kwanza nimechukua line yaoShawapiga chini halotel nikachukua ttcl naona nao wanazingua
Nimegundua nao wanazingua sanaTtcl daaaah kwanza nimechukua line yao
Mm napata GB 5 kwa 2,000 siku 30Daaah
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini
500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week
Daaah kiukweli mungu hamtumpi mja wakee
yaani hapa ni kushusha series na movie na software tuu
Jaribu bahati yako.
Mimi pia walikuwa wananipa hiyo offer ila kwa sasa wameitoa wananipa Gb3 kwa 2000 kwa siku7 kama unaweza nunua mb za kutosha mana huwa hawachelewi kuibadili hiyo offerMimi voda wana nipa GB 5 kwa Tsh 2000 mwezi mzima aisee niliona miujiza siku ya kwanza
Unajua Hili Tatizo Halijaanza Jion Ni Tangu Juz Binafsi Nikawa Najua Ni Tatizo La Simu Yangu Kumbe Ni Note DuuuuhhTTCL nao washaanza kua Famba toka saa 12 jioni mpaka sasa line haipandishi mnara manina naenda tafuta line ya voda asee ni ufamba ulopitiliza huu jamaa washaanza ku fail sasa.
Washaanza kuvimba asee net imekubali saa 9 usiku sasa hii maanake nini.Unajua Hili Tatizo Halijaanza Jion Ni Tangu Juz Binafsi Nikawa Najua Ni Tatizo La Simu Yangu Kumbe Ni Note Duuuuhh
Mana Nikiweka Lain Nyingine Ipo Frsh Tuuu
Nimeitupia Kabatin Iyo Line Yao Wasubir KwanzaWashaanza kuvimba asee net imekubali saa 9 usiku sasa hii maanake nini.
sema inakuwaga slow sanaTtcl kuna bando ya 1000 gb10 usiku
Hawa jamaa, sijui wanatumia vigezo gani! Wengine wanapata, wengine hawapati!Hivi huwa ni kizali tu au inakuaje mpaka hizi offer au kulingana na matumizi yako ya MB au vipi.
Hata sija fahamu tena mimi sikuwa naitumia hii line nilikuwa nawekea pesa tuu nilikuwa sijiu ungi kifurushi chochote!Hivi huwa ni kizali tu au inakuaje mpaka hizi offer au kulingana na matumizi yako ya MB au vipi.