Kuwa makini mimi namjua huyo zaidi ya wewe mkuuAcha nongwa mkuu..
Kuwa makini mimi namjua huyo zaidi ya wewe mkuu
Mke wa ntu huyo,Asante kwa tahadhari kiongozi.. ndio uzuri wa kujitambulisha ili upate taratibu na muongozo.
Sema sio mbaya, acha anitembeze tu jukwaani hapa..nipate kampani yake..kwani ni mumiani huyo?
Hahahaha sawa, muulize Zero IQ anajua zaidiAisee, hichi ni kiapo nilichoapa kwamba sitalima shamba la mwenzangu hata kwa bahati mbaya.
Ila atanitembeza hapa jukwaani tu, hatutafika chumbani. hahaha
Oho! basi wewe sio mgeniLooh.. huyo jamaa namjua kama guru wa kuzichakata.. nimemsoma sana hapa.
Hahah ndio mmiliki?
Karibu mkuu
Ila kuku mgeni hakosi kamba mguuni wewe kamba huna mkuuYalimkuta yapi mkuu?
Mimi ni mgeni mwanachama, nilikuwa msomaji kwa muda mrefu bila kujiunga. Leo ndio nimeamua kujiunga rasmi.
Niliwaza kukomenti hivi baada ya kusoma content nzima ya uzi wa mtoa uzi.Karibu sana.
Kwa hiyo ulikuwa unatupiga chable