Mimi mgeni wenu humu

Napenda kukaribishwa kwa bashasha nyingi za hapa na pale.Mimi ni kijana kutoka katika mtaa maarufu kabisa hapa TANZANIA ambapo mke wa mtemi wa UNYANYEMBE alihongwa hela kwa ajili ya kutekeleza kile kilichokuwa kimedhamiriwa na Wazungu HONGWA KINAMAPULA nasema NAWAKARIBISHENI SANA KWETU KIJIJINI NA MUNGU AWABARIKI SANA
mbona hujabandika picha yako hapo? cc Behaviourist
 
Napenda kukaribishwa kwa bashasha nyingi za hapa na pale.Mimi ni kijana kutoka katika mtaa maarufu kabisa hapa TANZANIA ambapo mke wa mtemi wa UNYANYEMBE alihongwa hela kwa ajili ya kutekeleza kile kilichokuwa kimedhamiriwa na Wazungu HONGWA KINAMAPULA nasema NAWAKARIBISHENI SANA KWETU KIJIJINI NA MUNGU AWABARIKI SANA
Karibu pita ukae
 
Back
Top Bottom