Mimi mgeni wenu humu

Kijana ushe2

Senior Member
Apr 6, 2017
175
121
Napenda kukaribishwa kwa bashasha nyingi za hapa na pale.Mimi ni kijana kutoka katika mtaa maarufu kabisa hapa TANZANIA ambapo mke wa mtemi wa UNYANYEMBE alihongwa hela kwa ajili ya kutekeleza kile kilichokuwa kimedhamiriwa na Wazungu HONGWA KINAMAPULA nasema NAWAKARIBISHENI SANA KWETU KIJIJINI NA MUNGU AWABARIKI SANA
 
Mgeni mbn unatukarbsha wenyeji??
Kwetu kijijini njooo upate vitu adimu mambo safi lakini usije na mke/mme wako maana huku watu tunapenda RUSHWA kama kijiji kilivyo ukikanyaga tyu tayari we WAHONGWA hata kiCHAWI
 
AHSANTEN MKUUU TUPO PAMOJA LKN WATU WANADHANI WOTE TUNA UBASHITENISM KUMBE WENGINE NI TALENTINISM AU WANADHANI NIMEKOSEA NINI HAPO KUJITAMBULISHA NAWAKARIBISHA KIJIJINI HONGWA TUNAHONGA MPAKA WAHONGAJI DUUUH COME ON
Una kasi vp ni 4G nini?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom