Mimi Masudi Kipanya na safari yetu ya miaka 100

Last Emperor,
Prof. Ally Mazrui alialikwa kuzungumza Cornell University New York.

Ilikuwa kuhusu sakata la Salman Rushdie.

Aliyemkaribisha na kumtambulisha alimpamba mno.

Basi Prof. aliposimama kuzungumza akamshukuru yule bwana kwa maneno haya: "Thanks for that generous introduction. "
Prof Mazrui alisema nini kuhusu Satanic Verses??
 
Bulamba,
Miaka mingi sana imepita sikumbuki nini alisema.
Asante Said.

Kuna huyo Profesa Gurnah wa Zanzibar ambaye naye amepewa tuzo ya nobel ya fàsihi.

Sasa watu wanamponda kwa sasa alifanya kazi ya uhariri ya kitabu cha "Satanic Verses" cha Salman Rushdie.

Ndio mama nilikuwa na shauku ya kutaka kujua msimamo wa wasomi kama Prof.Maxrui kuhusu kitabu cha Satanic Verses
 
Back
Top Bottom