Mimba za kuzimu

Watoto wa Dawa
 
Assumptions tu! hakuna biological fact yoyote wala huwezi kuprove scientifically kwamba kuna mimba za aina hiyo. Njoo na facts mtoa mada!
 
Assumptions tu! hakuna biological fact yoyote wala huwezi kuprove scientifically kwamba kuna mimba za aina hiyo. Njoo na facts mtoa mada!
Usiwe wa kuegemea upande mmoja katika maisha utakosa mengi maisha yana pande nyingi na mambo ya kiroho hayana ithibati za kisayansi kwahiyo hapa utakuwa tu unapoteza muda wako kuniuliza kuhusu facts kwakuwa sinazo
 
Hodi humu ndani,mi ni mgeni nusu,sikuwa member bali ni msomaji na mfuatiliaji sanasana wa jf,mshana jr mie ni mfuatiliaji sana wa nyuzi zako,japo zingine huwa zinatisha sana,ila kikubwa nilicho jifunza kwako ni kuwa unaishi ro h honi zaidi kuliko mwilini.kwamba haya maisha yetu ni soft copy ya kilichopo ktk ulimwengu wa roho.asante kwa kujitoa kutukumbusha.naomba kukaribishwa mgeni mwenyeji.
 
Asante na karibu sana
 
Mshike sana elimu,wala usimuache aende zake,maana ndio UZIMA wako.
 
Yaani wengine wanaombea eti positive HIV inakuwa negative yaani wanautani na Mungu sana
 
MSITOETOE MIMBA MADADA MTAKUJA JUTA MBELENI NASIYE WANAUME HATUTAKI WANAWAKE WASIOZAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…