kbla ya yote naomba nijue wewe ni dini gani na unaamini kuwa mungu yupoMoaka juzi tu hapa nime rudia hiyo offer. Sijapata effect yoyote.
Hawa ndugu zetu wengine wanaendekeza ushirikina sana.
Kuna mama mmoja mzungu ana miaka 61. Alishika mimba akiwa na miaka 61. Naturally, bika kutumia fertility treatment.
Angekuwa bongo watu wangesema hii ni mimba ya mzimu na kusema uchawi.
Kumbe kuna a perfectly sound scientific explanation. Huyu mama alipata ajali katika miaka yake ya ujana, menstruation ika stop. Mme wake akawa ana matatizo ya kupandisha jongoo. Baadaye mmewe akafariki, akapata mwanamme mwingine. Mwanamme mwingine ndiye aliyempa mimba. Madaktari wakashangaaa sana lakini wakasema huyo mama biological clock yake ilikuwa ni sawa na ya mwanamke wa kwenye miaka ya 30s.
Kibongobongo ungeambuwa habari zote za uchawi kabla hata ya uchunguzi.
Bishana kwenye simba na yanga, Ccm na Ukawa, kuku na bata na vitu vingine.....achana na hii maneno, hizi mambo wanajua waliopitia na waliokuwa "jikoni"Moaka juzi tu hapa nime rudia hiyo offer. Sijapata effect yoyote.
Hawa ndugu zetu wengine wanaendekeza ushirikina sana.
Kuna mama mmoja mzungu ana miaka 61. Alishika mimba akiwa na miaka 61. Naturally, bika kutumia fertility treatment.
Angekuwa bongo watu wangesema hii ni mimba ya mzimu na kusema uchawi.
Kumbe kuna a perfectly sound scientific explanation. Huyu mama alipata ajali katika miaka yake ya ujana, menstruation ika stop. Mme wake akawa ana matatizo ya kupandisha jongoo. Baadaye mmewe akafariki, akapata mwanamme mwingine. Mwanamme mwingine ndiye aliyempa mimba. Madaktari wakashangaaa sana lakini wakasema huyo mama biological clock yake ilikuwa ni sawa na ya mwanamke wa kwenye miaka ya 30s.
Kibongobongo ungeambuwa habari zote za uchawi kabla hata ya uchunguzi.
Unajuaje mimi sijapitia na sijakuwa jikoni?Bishana kwenye simba na yanga, Ccm na Ukawa, kuku na bata na vitu vingine.....achana na hii maneno, hizi mambo wanajua waliopitia na waliokuwa "jikoni"
Hizo picha hukumbuki Hao watoto walizaliwa muhimbiliMkuu hizo picha mbona kama vitoto vya mazombi? Umeangalia Wrong turn?
Usingebisha, haiwezekani ukapitia wizi halafu ukasema wizi haupoUnajuaje mimi sijapitia na sijakuwa jikoni?
All attempts at justifying the existence of supernatural phenomena are invariably rooted in ignorance and a poverty of the mund.Usingebisha
Inaelekea usingesoma shule pia ungebisha kama mwafrika anaweza kuandika kimombo.....usichokijua haimaanishi hakipoAll attempts at justifying the existence of supernatural phenomena are invariably rooted in ignorance and a poverty of the mund.
Usichokijua haimaanishi hakipo.Inaelekea usingesoma shule pia ungebisha kama mwafrika anaweza kuandika kimombo.....usichokijua haimaanishi hakipo
Jihadhari za mimba na mimba za kutafuta kwa manabii na waganga wa kienyeji.
Jaribu kufuatilia hizo mimba mpaka mwisho wake au kama watoto walizaliwa salama na kama wako hai mpaka leo hii na kama tabia zao ni za kawaida
Nimeshuhudia mara nyingi matangazo kwenye tv magazeti na radii hao wanaojiita manabii mitume na waganga wakijinasibu kuwa wamewasaidia akina mama wengi kupata ujauzito na hatimaye kujifungua watoto.
Lakini kamwe hatujawahi kuletewa mrejesho wa wale watoto maendeleo yao....kiukweli ni kwamba wengi walikufa au kupotea katika mazingira ya ajabu mno..hawa si watoto halisi.
Kujiepusha na maumivu haya nendeni hospital kapimeni wote ijulikane tatizo liko wapi au tatizo ni la nani halafu tiba yake ninini! Kama hakuna shida kila kitu kiko sawa lakini mimba hazishiki mwombeni Mungu atawajaalia mtoto wa haki...!
Msijaribu kwingineko haitawalipa.
Dini zote zinazoeleza kuhusu uchawi ni za uongo, dunia nzima wanapofanya mambo haya hawana akili.....ila mwenye akili ni wewe peke yako.Usichokijua haimaanishi hakipo.
Lakini haimaanishi kwamba kipo.
Ukisema kipo bila utafiti zaidi utakubali kwamba pembetatu duara ipo.
Toa uthibitisho kwamba mauzauza hayo yapo kiuhalisia, nje ya hadithi.
Dini ngapi unazijua wewe?Dini zote zinazoeleza kuhusu uchawi ni za uongo, dunia nzima wanapofanya mambo haya hawana akili.....ila mwenye akili ni wewe peke yako.
Duh! Hebu kabla ya kuujua uchawi mjue Mungu kwanza.....au nae ni mpaka umuone kwa macho?Dini ngapi unazijua wewe?
Umesoma vitabu vingapi vya dini tulinganishe mimi na wewe nani anajua dini zaidi?
Kama dunia nzima watu waliamini dunia iko bapa, wachache wakaamini dunia ni duara, hilo likifanya dunia iwe bapa?
Unataka kusema kwamba wengi wakisema jua halipo litaacha kuwepo?
The truth is not democratic.
Unaweza kuthibitisha uchawi upo?
Mungu ni nani?Duh! Hebu kabla ya kuujua uchawi mjue Mungu kwanza.....au nae ni mpaka umuone kwa macho?
Nimemaliza, ikitokea ukamjua Mungu ndio utajua na haya yote......kumbe tatizo ni kubwa zaidi kuliko nilivyofikiria.Mungu ni nani?
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo na si hadithi tu?
Hujamaliza, hata hujaanza bado.Nimemaliza, ikitokea ukamjua Mungu ndio utajua na haya yote......kumbe tatizo ni kubwa zaidi kuliko nilivyofikiria.
Kama umeshindwa kufunzwa dini na kumjua Mungu katika makanisa yote na misikiti kila kona, siwezi kukufundisha hapa Jf ukamjua.Hujamaliza, hata hujaanza bado.
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Unaamini katika hadithi isiyothibitishika.
Kati yako unayeamini katika kitu ambacho huwezi kuthibitisha na mimi ninayekuuliza maswali ambayo umeshindwa kuyajibu, nani ana matatizo hapa?
Unachojua wewe ni makanisa na misikiti tu.Kama umeshindwa kufunzwa dini na kumjua Mungu katika makanisa yote na misikiti kila kona, siwezi kukufundisha hapa Jf ukamjua.