Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 409
- Thread starter
- #21
27 natimiza mwezi wa3 Mkuu umri unaruhusu kabisaaaaMiaka 26 mtoto wa pili yupo tumboni..!!? Hongera mkuu..
27 natimiza mwezi wa3 Mkuu umri unaruhusu kabisaaaaMiaka 26 mtoto wa pili yupo tumboni..!!? Hongera mkuu..
miye ilikua ukipaka perfume natapika ht gari nashuka kabisaaaKuna dada ilikuwa mkitaka mgombane basi mwambie akaoge, mimba bwana.
Mmmhhh.......salama mkuu!!Kama siyo janaume wewe pole mumeo maana inaonekana utakuwa kimeo, kutamka mijineno michafu bila uoga inatosha kuonesha ulivyo mchafu mpaka mdomoni.
Mnafiki huyo achana nae kwani kuna neno gani chafu ulilotamka? Kunyoa vuzi ndio neno chafu? Sijui kama yuko salama huyo....tupa kule asikupe stress endelea na yako mama kijacho weee!Lait ungenijua ni nani ungenisumbua, ndio maana naipenda Jf coz inampa mtu uhuru Wa kujieleza lait tungeweka username za ukweli, basi tungeumbuka wengi
mpito au mpotoMwambie mumeo awe na kiasi hicho ni kipindi cha mpoto tu...mradi unaoga unanyoa na upo safi na unanukia......
Itakuwa unaleta kidume hicho....
Habari za w,keend wana jamvi.
Mm ni msichana wa miaka 26, Tatizo langu Nina ujauzito wa miezi 4, ila nimekua lafu kupitiliza mpaka Mr.ananiambia mbona wajiachia sna tofauti na mimba ya mtoto wetu wa kwanza ulikua unajipenda.
Nabaki kumwambia yatapita tu, lakini mpaka mwenywe naona aibu jinsi nilivyo ovyo ovyo, yaan cjipendi kupita maelezo yaan mume akitoka kazini ananiangalia anatingisha kichwa
Msaada jaman nifanye nn niondokane Na hali hii, mambo mengine shwariiii, mambo nampa mpaka mwenyewe ananiambia inatosha, chumba kisafi yaaan mambo mengine yote gudgud,,
Ila tatizo mie Niko ovyo cjipendi jaman embu mnisaidie nisije tafutiwa mchepuko bureeeee
Mambo gani unampa na uchafu wote huo???
.......Huoni kuwa ni kumtesa kaka yetu?
Nimeshaandaa zile hela nasubiri uniletee zile chura!Kama unajijua kuwa uko rafu sasa tatizo linakujaje?
tatizo kujitambua,na we we umejitambua, sasa unashindwa nini kujipenda.????
mume wako ndio ana matatizo. kama unaoga, unanyoa, unavaa nguo zilizo safi, nyumba IPO safi, chumbani kumependeza, sioni tatizo hapo, hizo poda waachie machangu..Tatizo sio kuoga wala kunyoa vuzi, naoga asbh na jioni, tatizo langu cjipendezeshi Kama kuvaa vzr kujikwatua usoni kama wanja poda nk, yaani nipo nipo tu, Na wakt sna ujauzito nilikua n'gali ng'ali yaan alikua ananiita sista du wangu, kwa jinsi ninavyotupia.
Alafu hanionei kinyaa but mm mwenyewe ndo naona noma.
Kawaida ukijifungua utarud kwenye hal yakoTatizo sio kuoga wala kunyoa vuzi, naoga asbh na jioni, tatizo langu cjipendezeshi Kama kuvaa vzr kujikwatua usoni kama wanja poda nk, yaani nipo nipo tu, Na wakt sna ujauzito nilikua n'gali ng'ali yaan alikua ananiita sista du wangu, kwa jinsi ninavyotupia.
Alafu hanionei kinyaa but mm mwenyewe ndo naona noma.