impelle
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 832
- 1,110
Yaan wew wacha tuHa ha ha ha ha ha ilikuaje Mkuu? Mimi ilishawahi kunitokea enzi zangu Mkuu, achana kabisa na haya mambo Mkuu.
Mtu anaweza akakusema saaana ila yakimkuta na yeye ndio ataelewa hasa ni kwa nini watu wameamua kufanya hivi.
Niliambiwa nimpe dozi ya misoprostol 4, mbili anywe mbili nipak kweny cervix, mpk asubuh hamna kitu, nikaambiw nimemunderdose nikatafuta vitano tena tatu akanywa na mbili akapak duuu usiku mzima hamna kitu duuu
Daktari kaanza kunitishia may be kumeshatokea uvimbe, alafu zaweza fumuka damu excessive bleeding itakuwaje duuu full mawazo
Nikaenda kwa utra sound ,hapo nipo kama mumewe daktar akatupongeza mtoto anaendelea vzr duuu kichwa kikauma
Ikabidi nimwambie akomae tukachokonoe, madaktar weng waliogopa sababu ya serikali ya sasa, nikambahatisha mmoja ila nikaambiwa huwa anamgonga msichana kabla ya kufanya zoezi wivu ukanijia nikambahatisha mwingine ndo akamfanyia duuu, ilikuwa wiki moja lkn nilikoma du
Nampongeza binti ktk kipind chote alikuwa msikivu
Distance relationship sio nzur kwa kweli, jamaa angekuwa krb tungemuunganisha na hiyo mimba ili aleee lkn DSM na lake zone wapi na wapi.
