Mimba imeingia majuzi, nifanyaje?

Mimba imeingia majuzi, nifanyaje?

Vidonge vya family planning.
Vile vya red , ameze vi 2 asubuhi vi2 mchana vi 2 jioni.ila tuu isiwe muda anaotakiwa kuona siku zake haujapita.
Mkuu, hata kama siku za hatari zilishapita na akasex?
 
Zaidi ya siku tano hakuna njia nyingine kwani upandikazaji Wa mtoto ushatokea tayari na kama ukifanya chochote kile kitakuwa ni abortion.
 
Alafu Pili kumwagia ndani si confirmation kuwa kapata mimba subiri siku ya 10 mpk 12 toka mmefanya mapenzi mkapime kipimo cha mimba kama amekamata mimba kweli. Usiww na hofu mkuuu
 
Pepa ya form six ilikuaje? Ulikua unasoma shule gani? ...pole
 
tuliaj azae tu na pia unatakiw ujiandae kuitwa baba mambo ya abortion sio
 
Ufanye nini kuhusu nini sasa? Hivi unajielewa wewe kweli?
 
Pole sana kubari tu kuitwa baba....ebu fikiria wazazi wangekutoa leo ungeipata raha ya kukojolea wasichana¿
 
USIUWE USIUWE USIUWE! Usiseme sijakuonya!
 
Mkuu ulishawah ona mkulima Anapanda mahindi nje ya shimo??
 
.... "Baba huyo! katoka Luanda, na mkungu wa ndizi! kafika njiani, kakanyaga tope!!!!!".
Kama umemtia mimba huyo binti, basi huyo mwanenu akianza kukuimbia huu wimbo wa kitoto, mshukuru Mungu kwamba hukuitoa hiyo mimba. Siku nyingine tumia kinga, kwani hata kumwagia nje (coitus interruptus), haimaanishi kwamba binti hatatunga mimba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom