Mimba imeingia majuzi, nifanyaje?

Mimba imeingia majuzi, nifanyaje?

Mpe Misoprostol kimoja chini ya ulimi kimoja ukeni alafu mtie ciprofloxacin 500mg 2×1 five days na Metronidazole 250mg 2×3 five days na antpain(PCM) 500mg mpe viwili kila baada ya masaa nane for five days.... Niamini mm icho kijusi akibaki. Nanawa mikoni zambi hii hainihusu.
Sikuwah kudhani siku moja nitamruhusu mdada atoe mimba yangu
Mpk pale nilipompa mke wa mtu mimba, alikunywa miso mpk nikakoma .ilikuwa na 1 na siku 5 ila nilipata shida,
Nilitumia njia ya kuchomoa kawaida
 
Kumbe mkuu alikutaarifu kabisa.
Ukataka kuonyesha ubabe wa kumwaga nje.
Subiri mtoto huyo we jipange tu mkuu mambo ya kutoa toa hayo acha kufikiria kabisa. Usiweke usiwe na mawazo negative mkuu.


Ndiyo maana nakupenda, na leo nataka nikutambulishe kwa , kaka yangu na babu yangu. Ili ukija kukutana nao huko heshima ufuate mkondo wake

Cc: Joseverest
Cc: Daby
 
hakuna namna subilini kulea mtoto wenu mautamu yaliwaponza
 
Mpe Misoprostol kimoja chini ya ulimi kimoja ukeni alafu mtie ciprofloxacin 500mg 2×1 five days na Metronidazole 250mg 2×3 five days na antpain(PCM) 500mg mpe viwili kila baada ya masaa nane for five days.... Niamini mm icho kijusi akibaki. Nanawa mikoni zambi hii hainihusu.
Asante kwa kutoa elimu hii
 
Hapo nakushauri jiandae kwa kununua nepi, mabeseni, na pesa za kulea uzazi tu. No way. Kumbuka kale kanyimbo ka mkenya kanakosema huenda, akawa rais, huenda akawa dkt; anachomuomba mpenzi wake asitoe mimba yake
 
Kuna watu walilia wapate watot we unawaza kutoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom