"Mimba hiyo siitambui"

"Mimba hiyo siitambui"

Wanaume wa siku hizi sijui wakoje. Yaani mke anakuambia ana mimba unaenda kuomba ushauri kwa washkaji.

Hiyo mimba sio ya jamaa yako aisee. Nina uhakika, mwanaume wa kuomba ushauri wa mambo haya hawezi kuweka mimba.
 
Jamaa ni mjinga. Anakataa mimba baadae toto linatoka limefanana nae kama maandazi. Sijui ataweka wapi sura yake. Akubali mimba mtoto akizaliwa na bado hajaridhika basi dna ifate mkondo.
 
Ikiwa mwanamke anatatizo la kupitiliza Kwa siku za hedhi, basi inawezekana ....! Mshauri akubali mimba
 
Hiyo mimba ni yake hasa kama mwanamke ananyonyesha... Ndugu yangu alijigundua ni mjamzito akiwa na mimba ya miezi saba tena baada ya kuumwa ndo Daktari akajua ni mjamzito (alikuwa ananyonyesha pia)
 
Inawezekana asigundue coz wanawake wanaonyonyesha wanapata lactational amenorrhoea
 
mwanamke anaenyonyesha huwa hapati siku zake
kwaiyo kwa vile hapati siku zake akaona ni kawaida kumbe kuna jingine
hyo mimba ni yake tena amuombe mungu amsamehe elimu ya biologioa ni muhimu jamani msikurupuke
Haitoshi tu kujua elimu ya kibaiolojia bali atafute utalaamu wa kidaktari ampe ufafanuzi juu ya hilo.
Ingawa yote yanawezekana but medical clarification is of paramount important before taking any unfavourable action/s
 
Kwanza mambo ya kukataa mimba ya kishamba sana tena ya kizaman siku iz wanalea mimba anasubiliwa mtoto au DNA inahusika apo ndo unaanza kuropoka ujinga wako sio unaanza kumkana mtoto akiwa bado tumboni
Lkn hata hivyo hatujui uhusiano kiundani wa hiyo couple huenda mwanaume kuna mazingira yanamfanya asiamini
 
Umesema eti ndani ya mwezi mmoja mtu hawezi kujua kama ana mimba? Kama ni hivo Ngoja nilianzishe nirudishiwe hela zangu haraka sana.
Hahahaaaaa mkuu amesababisha kukuvunjia ndoa
 
Lkn hata hivyo hatujui uhusiano kiundani wa hiyo couple huenda mwanaume kuna mazingira yanamfanya asiamini
Mwezi wa pili jamaa kaondoka kapigiwa cm nina mimba ina miezi mi4 tang mwez wa pil mpk leo yupo sawa asingepanik aje waende hosp na mambo mengne yafatie sio kukurupuka tu kukataa mimba
 
Hii inahitaji hekima na busara kubwa mno kulitatua. Ikiwa mwanamke ananyonyesha vizur, ipasavyo, mwanamke hawez kupata mimba hata ikiwa alikuwa anafanya mapenz na mumewe. Ila ishu inakuja pale ikiwa alikuwa hanyonyeshi vyema, kuna uwezekano mkubwa sana wa kunasa. Na kibaya zaid ni namna mimba inavyoingia, ni kitendo cha sekunde tu, kuikana pengine uwe na uhakika na matendo ya mkeo, ila bado inabaki kuwa siri ya mwanamke.
 
Back
Top Bottom