Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
- Thread starter
- #81
CONFIRMED NEWS.
Usiku wa kuamkia leo nilikuwa msibani maeneo ya Kiluvya.
Ilipojiri mida ya saa 6 usiku hali ya wasiwasi ilianza kutanda kutokana na mlipuko wa kwanza kusikika kwa kishindo ukilipuka.
Muda mchache baadae ukaripuka mlipuko mwingine mkubwa zaidi ya ule wa mwanzo kiasi kufanya watu kuwa na wasiwasi zaidi.
Haikuwa radi wala hakikuwa ni kishindo cha transformer kulipuka bali kilikuwa ni kishindo mithiri ileile ya vishindo vilivyotokea Gongo la mboto kwani milipuko ile naikumbuka vizuri kwani nilikuwapo kule.
Baada ya kupita nusu saa ama dakika ishirini ukalipuka mlipuko mwingine, kitu kilichopelekea watu watoke nje na kuwa tayari kwa kuokoa nafsi zao.
kisha mlipuko wa mwisho uliosikika ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba kuta za nyumba na ardhi ziliachwa zinatetemeka.
kama kawaida yangu nilichukua simu yangu na kuingia JF ambapo nilikuta mtoa mada ameweka tayari habari hii na kama kawaida ya wachangiaji wa siku hizi wa JF wengi wamekuwa na mzaha kitu ambacho si kizuri.
Mtoa mada alieleza habari ilivyo kisha kwa kuamini kutojuwa kilichomsibu akapotea ghafla na hakuendelea na updates.
Ila kuna baadhi ya wana JF waliisikia milipuko hiyo na wakathibitisha hilo, na kuna mmoja amesomeka kuwa milipuko hiyo imesikika karibu na maeneo anayoishi kitu kilichomfanya awe na wasiwasi.
Lakini inashangaza watu wanashindwa kupata more updates toka kwa wana JF waliopo ambao wameisikia milipuko hiyo na kuiripoti hapa bali wamekaa wakimsubiri mtoa mada aje athibitishe ili waamini...shame
Inasikitisha hata kuona uongozi wa JF wanashindwa pata habari kamili za kilichotokea usiku wa kuamkia leo ni kipi haswa kutokana na kinachodaiwa kuwa ni milipuko.
JF ni mtandao mkubwa na sidhani kama unakosa mtu toka kambi ya jeshi hapo Kibamba ambaye angeweza towa details juu ya milipuko hiyo...lakini inatia kichefuchefu mpaka saa hizi kuona habari imeandikwa UNCONFIRMED.
JF ulikuwa ni mtandao wa kuthibitisha na wa uhakika wa haraka sana.
Wengi tuliukimbilia kwa habari zenye kuthibitishwa.
Lakini kwa hichi kioja cha leo ambapo milipuko imetokea saa 6 usiku lakini mpaka sasa saa 4 asubuhi na hakuna juhudi zozote toka kwa uongozi kueleza milipuko ile ilikuwa ni ya nini nashindwa kutofautisha mtandao wa JF na blog ya Le Mutuz
Usiku wa kuamkia leo nilikuwa msibani maeneo ya Kiluvya.
Ilipojiri mida ya saa 6 usiku hali ya wasiwasi ilianza kutanda kutokana na mlipuko wa kwanza kusikika kwa kishindo ukilipuka.
Muda mchache baadae ukaripuka mlipuko mwingine mkubwa zaidi ya ule wa mwanzo kiasi kufanya watu kuwa na wasiwasi zaidi.
Haikuwa radi wala hakikuwa ni kishindo cha transformer kulipuka bali kilikuwa ni kishindo mithiri ileile ya vishindo vilivyotokea Gongo la mboto kwani milipuko ile naikumbuka vizuri kwani nilikuwapo kule.
Baada ya kupita nusu saa ama dakika ishirini ukalipuka mlipuko mwingine, kitu kilichopelekea watu watoke nje na kuwa tayari kwa kuokoa nafsi zao.
kisha mlipuko wa mwisho uliosikika ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba kuta za nyumba na ardhi ziliachwa zinatetemeka.
kama kawaida yangu nilichukua simu yangu na kuingia JF ambapo nilikuta mtoa mada ameweka tayari habari hii na kama kawaida ya wachangiaji wa siku hizi wa JF wengi wamekuwa na mzaha kitu ambacho si kizuri.
Mtoa mada alieleza habari ilivyo kisha kwa kuamini kutojuwa kilichomsibu akapotea ghafla na hakuendelea na updates.
Ila kuna baadhi ya wana JF waliisikia milipuko hiyo na wakathibitisha hilo, na kuna mmoja amesomeka kuwa milipuko hiyo imesikika karibu na maeneo anayoishi kitu kilichomfanya awe na wasiwasi.
Lakini inashangaza watu wanashindwa kupata more updates toka kwa wana JF waliopo ambao wameisikia milipuko hiyo na kuiripoti hapa bali wamekaa wakimsubiri mtoa mada aje athibitishe ili waamini...shame
Inasikitisha hata kuona uongozi wa JF wanashindwa pata habari kamili za kilichotokea usiku wa kuamkia leo ni kipi haswa kutokana na kinachodaiwa kuwa ni milipuko.
JF ni mtandao mkubwa na sidhani kama unakosa mtu toka kambi ya jeshi hapo Kibamba ambaye angeweza towa details juu ya milipuko hiyo...lakini inatia kichefuchefu mpaka saa hizi kuona habari imeandikwa UNCONFIRMED.
JF ulikuwa ni mtandao wa kuthibitisha na wa uhakika wa haraka sana.
Wengi tuliukimbilia kwa habari zenye kuthibitishwa.
Lakini kwa hichi kioja cha leo ambapo milipuko imetokea saa 6 usiku lakini mpaka sasa saa 4 asubuhi na hakuna juhudi zozote toka kwa uongozi kueleza milipuko ile ilikuwa ni ya nini nashindwa kutofautisha mtandao wa JF na blog ya Le Mutuz