Habari za Leo ndugu zangu, vijana wenzangu? Natumaini Mungu anaendelea kutupigania katika mapito yetu ya kila siku.
Nimekaa natafakari sana Hili wazo: Kwamba Kwa umoja wetu, kupitia mikakati sahihi, tunaweza kabisa kuondokana na Hali ya UMASIKINI, utegemezi na janga la ukosefu wa ajira.
Mawazo yangu ni kutaka tuungane vijana mia Moja then tuwe na kikao Cha pamoja ambacho kitatoa wazo la kibiashara lenye uhitaji wa milioni mia Tano.
Tuweke strategies thabiti za kuweza kufanya hiyo biashara na tukishamaliza, tukubaliane kuchanga(kupitia akaunti ya pamoja Benki) Kwa mwaka mmoja ili kuweza kufikisha hicho kiasi Cha pesa.
Milioni mia Tano Kwa watu mia Moja ni sawa na milioni Tano kwa kila mmoja kwa mwaka. Naombeni kuwasiliana.
Mawazo yenu ni muhimu sana.
Nimekaa natafakari sana Hili wazo: Kwamba Kwa umoja wetu, kupitia mikakati sahihi, tunaweza kabisa kuondokana na Hali ya UMASIKINI, utegemezi na janga la ukosefu wa ajira.
Mawazo yangu ni kutaka tuungane vijana mia Moja then tuwe na kikao Cha pamoja ambacho kitatoa wazo la kibiashara lenye uhitaji wa milioni mia Tano.
Tuweke strategies thabiti za kuweza kufanya hiyo biashara na tukishamaliza, tukubaliane kuchanga(kupitia akaunti ya pamoja Benki) Kwa mwaka mmoja ili kuweza kufikisha hicho kiasi Cha pesa.
Milioni mia Tano Kwa watu mia Moja ni sawa na milioni Tano kwa kila mmoja kwa mwaka. Naombeni kuwasiliana.
Mawazo yenu ni muhimu sana.