Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,048
- 3,415
kama ni mgeni kwenye page yangu tafadhali acha kutapika vitu usivyokuwa na uhakika navyo hii page ipo tangu 2017 mwaka mzima na nusu je kuna aliyedai hapa tumemtapeli? plz be sure of what ur saying first
vyumba viwili kimoja master sebule dining public toilet kichen storeIna vyumba vingapi bro
ina vyumba viwili kiongozIna vyumba vingapi bro
pole sana
Shukrani mkuupole sana
karibu sama kiongozEbwanaeeeee mi nitawatafuta nina plot yangu mwanza mnishushie mjengo
karibu kiongoziEbwanaeeeee mi nitawatafuta nina plot yangu mwanza mnishushie mjengo
Hatuwezi kujua garama kabla hatujaona site ramani ilivyo yaan ukubwa wa vyumba na idadi material ulizonazo nkMkuu naomba gharama zako za ujenzi.
Nina site nishajenga foundation nataka kunyanyua kdgo kdgo.
Hivi sasa nina tofali 400.
Utajenga kwa shs ngap??
Site location: mbagala kisewe
Tambarare
naomba unitumie ramani yako ili nikupigie hesabu kiongoz itume kwa 0763772636Mkuu naomba gharama zako za ujenzi.
Nina site nishajenga foundation nataka kunyanyua kdgo kdgo.
Hivi sasa nina tofali 400.
Utajenga kwa shs ngap??
Site location: mbagala kisewe
Tambarare
naomba unichek whatsapp kiongozi naikumbuka ile project yako plz tuwasilianeNdg yangu, nimejaribu kuwasiliana nanyi ili mrekebishe makosa naona sipati ushirikiano
Hii pia ilikuwa kwa 32 M ?kazi ikiendelea maeneo ya chalinze hii ni gorofa ya floor moja tupo kwenye hatua ya kupauaView attachment 850944
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio mwisho wako wa kufikiria???Sasa iko chumba kimoja watoto unawalaza sebuleni au