Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

naomba unichek whatsapp kiongozi naikumbuka ile project yako plz tuwasiliane

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuwa makini na project zako mkuu kama kweli unaikumbuka project yake kwanini hadi akuchek tena WhatsApp?

na analalamika anawatafuta hapati ushirikiano..!!

Inaonekana mnafanya kazi nzuri lakininmna dharau fulani hivi
 
project ya ujenzi wa mgahawa wa kisasa kabisa mgahawa huu ujenzi pamoja na funcha zote umegarimu milion 40 ilikuwa ni full parcage kujenga na kuweka fancha kila kitu kwa maelezo zaidi whatsapp us 0763772636View attachment 1058263View attachment 1058264View attachment 1058265View attachment 1058266View attachment 1058267View attachment 1058268View attachment 1058269View attachment 1058270

Sent using Jamii Forums mobile app
I like it.

Hongereni sana kwa kazi nzuri....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari mpoo ? nina nyumba yangu ya chini ina vyumba 4 ninataka kuipandishia gorofa moja juu jee inawezekana? Na mtaweza kunifanyia hiyo kazi? Nyumba ipo znz shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipende ku kremisha bosi material kama mabati sisi kama kampuni tuna kiwanda kidogo cha kuproduce pia matofali tuna mashine tuna shamba la miti ya mbao so usihukumu moja kwa moja come to the ofisi
Sure 32 milioni Ni nyumba kali sema wamezoea hizi za madalali, kuna interlock brick tofali moja sh.500 ukitumia tofali 6000 sawa na 3,000,000 tayari una nyumba ya vyumba vitatu hadi unafunga lenta
 
Daaa kwa 32m hiyo huku moshi unajenga nyumba ya room 3 jiko,choo,sebule unapauwa na msouth gage 30 grill,plaster,umeme na rangi kwa 15 ml

Ila sio mbaya umaskini wangu ndio unanichanganya tu
Wish u all the best
 
Heeeheee
Daaa kwa 32m hiyo huku moshi unajenga nyumba ya room 3 jiko,choo,sebule unapauwa na msouth gage 30 grill,plaster,umeme na rangi kwa 15 ml

Ila sio mbaya umaskini wangu ndio unanichanganya tu
Wish u all the best
 
New project at Dodoma hii ni nyumba ya vyumba vinne tunaijenga Maeneo ya Dodoma Garama ya hii nyumba hadi kukamilika ni milion 150 kwa mahitaji yako ya kuchorewa Ramani kuandaliwa B.O.Q kujengewa nyumba za kisasa kabisa wasiliana nasi kwa whatsapp 0763772636View attachment 1085543View attachment 1085544View attachment 1085550View attachment 1085545View attachment 1085547View attachment 1085548View attachment 1085546View attachment 1085549
Biss mbona hatuonagi actual picha ya project zako...kila siku ni models tu
 
Picha za nyumba kila mara zinaonyesha zipo under construction. Kwanini usiweke picha za nyumba baada ya ujenzi pamoja na muonekano wake kwenye michoro kwa nje kabla ya ujenzi?
 
Hii nimeipenda ni nzuri sana
tapatalk_1558325908131.jpeg
 
Back
Top Bottom