pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
- Thread starter
- #281
Pia tunafanya Renovation kwa nyumba zilizochoka
Mkuu kwa sasa hizo picha wabongo kibao tu wana design, na mwenyewe ameshajibu ana hakika ametengeneza mwenyewe. Angalau ungekuwa na reference mahali ametoa. Ila nna mdogo wangu pia ni mchoraji mzuri wa ramani kama unataka designing kama hizo unakaribishwa.Picha za mtandaoni zinajulikana.. Nyingine tunajua wachoraji wake..
Mkuu ulisema umna uzoefu wa miaka nane kama siyo sita, ungeweka na document ya mwaka mlipoanza kazi au mliposajiliwa, ili kuthibitisha uzoefu wenu kwa wasioamini. Hiyo ya 2017 inaweza kuingia kwenye akili za watu kuwa nyie ndo mnajifunza kazi na kupoteza uaminifu.Kwa wale waliokuwa na mashaka na kampuni yetu huu hapa kopi ya lesen ya biasharakaribuni sana Nyumba yako Maisha yako
Siwez kuweka kila kitu mtandaoni siwez pia kumlazimisha kila mtu kuamin walio serious wanatutafuta na bado wanaendelea kututafuta so if u don't trust nilichokuambia ata Yesu akirudi Leo bado utakuwa mbishi maana wengine ubishi kipaji chenuMkuu ulisema umna uzoefu wa miaka nane kama siyo sita, ungeweka na document ya mwaka mlipoanza kazi au mliposajiliwa, ili kuthibitisha uzoefu wenu kwa wasioamini. Hiyo ya 2017 inaweza kuingia kwenye akili za watu kuwa nyie ndo mnajifunza kazi na kupoteza uaminifu.
It's a standard houseInawezekana lkn sio nyumba ambayo ni standard
Ndo niniFF0000makubwaFF0000
Mbona umepanic na mimi nimekueleza tu kwa nia njema mkuu. Wala sikulazimishi kuweka kila kitu. Unasema una uzoefu wa miaka nane unatuwekea document ya mwaka 2017. Kwani kuambiwa uweke document ya mlipoanza kazi ili kuthibitisha uzoefu wenu ndo nimekwambia uweke kila kitu? Umewezaje kuweka ya sasa ukashindwa kuweka ya zamani? Akili nyingine ni za hovyo zaidi kupata kutokea.Siwez kuweka kila kitu mtandaoni siwez pia kumlazimisha kila mtu kuamin walio serious wanatutafuta na bado wanaendelea kututafuta so if u don't trust nilichokuambia ata Yesu akirudi Leo bado utakuwa mbishi maana wengine ubishi kipaji chenu
Sawa ni za hovyo kwa waliona uhitaji walishakuja ofisin na wanazidi kuja hongera ww ambaye sio hovyo Maisha mema bossMbona umepanic na mimi nimekueleza tu kwa nia njema mkuu. Wala sikulazimishi kuweka kila kitu. Unasema una uzoefu wa miaka nane unatuwekea document ya mwaka 2017. Kwani kuambiwa uweke document ya mlipoanza kazi ili kuthibitisha uzoefu wenu ndo nimekwambia uweke kila kitu? Umewezaje kuweka ya sasa ukashindwa kuweka ya zamani? Akili nyingine ni za hovyo zaidi kupata kutokea.
Uongo uongo uongo uongo uongo haiwezekani! Haiwezekani eneo la nyumba la mita 25×25 halafu liwe na vyumba viwili na sebule!25*25
Kaka kabla uja koment ni bora ukauliza ukapewa ufafanuz kuliko kuhukumu moja kwa moja?Uongo uongo uongo uongo uongo haiwezekani! Haiwezekani eneo la nyumba la mita 25×25 halafu liwe na vyumba viwili na sebule!
Nilikuuliza eneo la nyumba nzima ukaniambia 25× 25!Kaka kabla uja koment ni bora ukauliza ukapewa ufafanuz kuliko kuhukumu moja kwa moja?
So ile eneo ni kubwa au dogo kwa mtazamo wako?Nilikuuliza eneo la nyumba nzima ukaniambia 25× 25!
Hizi ni sawa na square meta 625 je hazitoshi kujenga nyumba?So ile eneo ni kubwa au dogo kwa mtazamo wako?
Asprin ndugu yangu usilolijua ni sawa na usiku wa Giza Fanya research njoo upingane nami kwa fact kwamba hiyo mil 32 haitoshi kujenga nyumba ya kisasa nami nitakujibu with fact na nitakupeleka ukaone nyumba za wenzio zilizojengwa na ukague uimara wake usije na blaablaa tu