Asprin ndugu yangu usilolijua ni sawa na usiku wa Giza Fanya research njoo upingane nami kwa fact kwamba hiyo mil 32 haitoshi kujenga nyumba ya kisasa nami nitakujibu with fact na nitakupeleka ukaone nyumba za wenzio zilizojengwa na ukague uimara wake usije na blaablaa tu
OK hebu tuanzie hapa:
Nyumba ya rooms 3 za kulala (moja ikiwa master), sebule, dinning, jiko, stoo na baraza mbili...
Tufanye ni nyumba ya kawaida kabisa ya sqmts 120
1. Inachukua tofali ngapi... (na bei yake ni shingapi uiweke pembeni)
2. Cement mifuko mingapi?
3. Mchanga kiasi gani?
4. kokoto kiasi gani?
5. Nondo kiasi gani?
6. Maji kiasi gani?
7. Labour charge mpk kuanzia msingi mpaka utayari wa kuezeka ni shingapi??
Tuendelee kwenye kupaua
1. Mbao za thamani ya shingapi?
2. Mabati (tusiweke vigae maana tutaaibishana) mangapi ya geji ipi na thamani yake...
3. Misumari
4. Gharama za usafirishaji
5. Labour charge
Turudi kwenye security
1. Grills za madirisha (tufanye madirisha 14)
2. Frames za milango ( tufanye 9)
3. Milango yenyewe... tufanye milango 6 tu, ikiwa na vitasa vyake)
4. labour charge
Tuende kwenye plumbing...
1. Mashimo ya vyoo na kuyajengea
2. Kutandaza mabomba ya maji safi na maji taka
3. labour charge
Haya Umeme
1. Nyaya zote na fittings
2.labour charge
Twende kwenye finishing
1. Plasta nyumba nzima... nje na ndani
2. Floor
3. Skimming
5. Blandering na ceiling boards
6. Rangi
7. Tiles (kama inalazimu)
8. Labor charge
Najua nimesahau vingi... lakini mpaka hapo ukipiga hesabu ya haraka... 32M ilishaishia kwenye kupaua.
No strings attached!!
Unajua mpaka michepuko yangu kina
Sakayo,
Shunie,
emmyta na wengine kumi na saba... kwa bei yako watanishangaa kwanini mpaka leo sijawanunulia vitz kama nyumba ni rahisi namna hii kwa gharama zako....