Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Pia tunatoa na Huduma ya upimaji viwanja karibun
 
Karibuni kwa wanaohitaji kupimiwa viwanja kujengewa kwa garama nafuu, atakama nyumba yako hujamalizia sisi tunamalizia pia tuna Renovation za majengo
 
Watu wengi wamenifuata inbox kutaka kujua kama nyumba zinazojengwa zinakuwa na wiring kuvuta maji kila kitu kwa garama ya mil 32? Jibu ni ndio kila kitu ni inclusive kwa wanaohitaji Huduma mwenye kutaka kutujua zaidi Tafadhali nichek kwa WhatsApp 0763772636 nitakupa utaratibu mzima na picha na mambo mengine pia huduma ya upimaji viwanja inapatikan karibuni san
 
Kwakweli hata mimi nimeshangaa... maana thamani ya kiwanja tu ni karibia robo ya gharama ya nyumba...

Hata kama una kiwanja chako, 32M kujenga nyumba mpaka iishe, nna mashaka na uimara wa hiyo nyumba.
Ataje hiyo nyumba ys 32m ina eneo la square metre ngapi? Unaweza kukutu ni kiberiti MKUU!
 
Mtoa mada tupe specifications za nyumba ya 32m! Eneo la jumla ni square metre ngapi? Tupe saizi ya sebule, jiko, na vyumba!
 
Ataje hiyo nyumba ys 32m ina eneo la square metre ngapi? Unaweza kukutu ni kiberiti MKUU!
Usiishi kwa hisia njoo ofisini uhoji yote tutakujibu na material zetu utaziona pil sisi hatujengi kwenye kiwanja chetu tunajenga mwenye kiwanja cha mteja Vyumba vya masta kwa mil 32 kimoja ni ukubwa wa 4.5 kwa 4.5 na cha kawaida self 3.5 kwa 3*5 najua umeuliza ili swali kwa faida ya wengine
 
Mtoa mada tupe specifications za nyumba ya 32m! Eneo la jumla ni square metre ngapi? Tupe saizi ya sebule, jiko, na vyumba!
Kama ni mjenz karibu yote tutakupatia na material tunazotumia kukujengea ukija ofisin tutakujibu yote na utaruhusiwa kuhakiki wakati ujenz ukiendelea
 
Mtoa mada tupe specifications za nyumba ya 32m! Eneo la jumla ni square metre ngapi? Tupe saizi ya sebule, jiko, na vyumba!
Hili swali ni la msingi mno.Mtoa mada tunaomba ulijibu hapa kwani sio kila mmoja ataweza kuja huko ofisini pasipo na kuridhika na majibu ya vitu muhimu kama hivi alivyouliza mkuu hapa.
 
Usiishi kwa hisia njoo ofisini uhoji yote tutakujibu na material zetu utaziona pil sisi hatujengi kwenye kiwanja chetu tunajenga mwenye kiwanja cha mteja Vyumba vya masta kwa mil 32 kimoja ni ukubwa wa 4.5 kwa 4.5 na cha kawaida self 3.5 kwa 3*5 najua umeuliza ili swali kwa faida ya wengine
Na eneo la nyumba yote kwa ujumla ni kiasi gani?
 
Mchanganuo wa Kuwalipa mafundi bei za chini kwa hiyo nyumba ya vyumba 3 iliyokamilika
Fundi ujenzi 2000,000
Fundi bati 1000,000
Kumwaga zege ya floor 200,000
Kupiga plaster 1000,000
Umeme 600,000
Installation ya maji safi na maji taka 500,000
Kuchimba shimo la choo na kujenga 300,000
Kufanya bundering pamoja na kufunika gypsum board 800,000, Skimming pamoja na kupaka rangi 1000,000
Kuweka tiles 700,000
Ufundi tu inacost zaidi ya million 8...nyumba ya vyumba 3 kwa million 32 ni impossible labda yeye ana supply materials tu
 
Mchanganuo wa Kuwalipa mafundi bei za chini kwa hiyo nyumba ya vyumba 3 iliyokamilika
Fundi ujenzi 2000,000
Fundi bati 1000,000
Kumwaga zege ya floor 200,000
Kupiga plaster 1000,000
Umeme 600,000
Installation ya maji safi na maji taka 500,000
Kuchimba shimo la choo na kujenga 300,000
Kufanya bundering pamoja na kufunika gypsum board 800,000, Skimming pamoja na kupaka rangi 1000,000
Kuweka tiles 700,000
Ufundi tu inacost zaidi ya million 8...nyumba ya vyumba 3 kwa million 32 ni impossible labda yeye ana supply materials tu
Kaka ebu rejea Tangazo langu vema acha mwendo kasi kaka mimi nimesema Vyumba viwil sebule dining store jiko na choo ch a public ndio mil 32 pia kama unataka kujenga na huna uzoefu njoo ata tukushauri bure tu kaka ivi ujiulizi kwanini Magu analetewa bajet ya kujenga bil kadhaa anakataa anasema ni bil hizi? Kuliko upingane na ninachokueleza bora ufanye utafiti wa kina kabisa usiongelee mafundi wa vichochoron wanaokuibia sment na vingine...
 
Back
Top Bottom