RaJhumoR
Member
- Mar 1, 2021
- 37
- 45
Ebwana, Habari wana JamiiForum
Nimeleta muswada huu mbele yenu kutangaza biashara ya milango (USED) kutoka kwenye nyumba ya mshua mmoja mtunzaji sana wa mali zake
Aisee hii milango iko katika good condition na ipo sokoni mpaka kesho kutwa ambapo boss akikosa mteja ataigawa anapojua
Kwa bei, Mlango mmoja ni 100,000 na mlango wa Chuma ni 150,000
Narudia ipo kwenye good condition na ishapakwa rangi, Mlango uko full na vitasa vyake
Wasiliana nami number 0672 303307 niko Tabata Sanene/Barakuda
Nimeleta muswada huu mbele yenu kutangaza biashara ya milango (USED) kutoka kwenye nyumba ya mshua mmoja mtunzaji sana wa mali zake
Aisee hii milango iko katika good condition na ipo sokoni mpaka kesho kutwa ambapo boss akikosa mteja ataigawa anapojua
Kwa bei, Mlango mmoja ni 100,000 na mlango wa Chuma ni 150,000
Narudia ipo kwenye good condition na ishapakwa rangi, Mlango uko full na vitasa vyake
Wasiliana nami number 0672 303307 niko Tabata Sanene/Barakuda