MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

We pia umemdhalilisha kumuweka humu Jf!!!
Mada yangu na maudhui ya lile nililokusudia liifikie jamii ... lingefikaje kwa uhalisia kama picha hiyo isingetumika? .....

Maana wengine wangekuja na hoja kuwa jambo kama hilo halipo na wangetaka picha ....

Yawezekana huyo binti (picha) akawa c mtanzania but atakuwa ni mfano halisi wa mabinti wa kitanzania wanaodhalilishwa tokana na mila na desturi zilizopitwa na wakati
 
UKIJUA NN MAANA YA TAMADUNI au culture na thamani yake huwezi fikilia hilo, kwa kuwa una base kwenye tamaduni za watu wengine(wazungu) ndio maana unaona hilo,,,, huwezi linganisha mbuzi na nguruwe eti nani mnono
Bado cjakubaliana na hoja yako .....
Mwili wa mwanadamu hasa PRIVATE PARTS bila kujali jinsia yake awe mwafrika, mzungu nk zapaswa kusitirika (kuhifadhiwa) ziwe siri not for everyone to see
 
Mada yangu na maudhui ya lile nililokusudia liifikie jamii ... lingefikaje kwa uhalisia kama picha hiyo isingetumika? .....

Maana wengine wangekuja na hoja kuwa jambo kama hilo halipo na wangetaka picha ....

Yawezekana huyo binti (picha) akawa c mtanzania but atakuwa ni mfano halisi wa mabinti wa kitanzania wanaodhalilishwa tokana na mila na desturi zilizopitwa na wakati
Hat kama c mtanzania kulikua hakuna haja ya kuweka picha aina hiyo Huyo ni binti,unapo dhalilisha mwanamke inamaanisha ni wanawake wote duniani haijalishi nchi atokayo.
 
mbona wanaojifunika gubigubi ni mashoga na waathirika?
huyu kigoli sioni km kuna mtu pembeni hapo anayemuona
kumbe hujakutana na Selfie?
Tamaduni ya watu flani hasa maeneo ya pwani, unguja, pemba nk wakina dada huvaa ktk namna hiyo ulosema wewe .... je tuwaite ni makahaba? ...THAT'S NOT FAIR ....

Na kama wadhani hakuna mtu hapo jirani ... hiyo picha kapigwa na nani?
 
Hat kama c mtanzania kulikua hakuna haja ya kuweka picha aina hiyo Huyo ni binti,unapo dhalilisha mwanamke inamaanisha ni wanawake wote duniani haijalishi nchi atokayo.
Rejea maelezo yangu vizuri .... yasome kwa kumaanisha na uctangulize lawama tu ....

Nngetaraji ninyi ndo mngekuwa mstar wa mbele kupinga hii mila na destur ... kumbe
 
Bado cjakubaliana na hoja yako .....
Mwili wa mwanadamu hasa PRIVATE PARTS bila kujali jinsia yake awe mwafrika, mzungu nk zapaswa kusitirika (kuhifadhiwa) ziwe siri not for everyone to see
Nakuelewa sana, ila kwa afrika matiti na hasa kwa vigori wanaosubiri kuolewa ilikuwa sio SIRI hata kidogo ilikuwa na hadi sasa ni UFAHARI wa binti kuthibitishia jamii kuwa uko kamili,

Pia inategemea wewe umekuzwa/umetokea tamaduni gani sbb tz bado tunatofautiana kitamaduni, kwangu mm sijaona udhalilishaji hapo, ndio tamaduni zangu na hazina madhara kwenye society yetu
 
Mbona na wewe unaziendeleza
Nmeziendelezaje? .... mie nmeleta hoja jukwaani nkipinga wazi wazi huu UPUUZI .... soma "title" ksha maelezo yangu vizuri ....
 
Rejea maelezo yangu vizuri .... yasome kwa kumaanisha na uctangulize lawama tu ....

Nngetaraji ninyi ndo mngekuwa mstar wa mbele kupinga hii mila na destur ... kumbe
Kumbe nini? Yaah napinga ndo maana nikasema hata wewe ulie weka picha umemdhalilisha pia.
 
Nakuelewa sana, ila kwa afrika matiti na hasa kwa vigori wanaosubiri kuolewa ilikuwa sio SIRI hata kidogo ilikuwa na hadi sasa ni UFAHARI wa binti kuthibitishia jamii kuwa uko kamili,

Pia inategemea wewe umekuzwa/umetokea tamaduni gani sbb tz bado tunatofautiana kitamaduni, kwangu mm sijaona udhalilishaji hapo, ndio tamaduni zangu na hazina madhara kwenye society yetu
Jamii inathibitishiwaje kuwa huyo kigori yupo KAMILI kwa kuya-expose maziwa yake?
 
ab49dce583eb38c0587a4f63373e098f.jpg
Mchuchu umetulia sana
 
Mada yangu na maudhui ya lile nililokusudia liifikie jamii ... lingefikaje kwa uhalisia kama picha hiyo isingetumika? .....

Maana wengine wangekuja na hoja kuwa jambo kama hilo halipo na wangetaka picha ....

Yawezekana huyo binti (picha) akawa c mtanzania but atakuwa ni mfano halisi wa mabinti wa kitanzania wanaodhalilishwa tokana na mila na desturi zilizopitwa na wakati
aysher tafadhali rejea hayo maelezo hapo .... naamn utanielewa ... c vyema sana kuendeleza ushindani
 
Yaani wewe ndo umemuweka MTUPU hapa hadharani, hlf unajifanya kulialia...!? Khaa!!! Pamb****fff kabisa, ebo!!!
Mie siogopi matusi just be free to write whatever you desire ....

Masikitiko yngu ni kuwa ukileta ktk jukwaa jambo la muhimu lijadiliwe watu huchukua mtazamo HASI na kuanza matusi ....

Kama Gigy Money angeleta pic yake yuko mtupu vile wengi humu wangeshangilia na kumsifia ... yaani tumejawa UNAFIKI mtupu
 
Udhalilishaji huu hàutaisha coz wengi hasa wa jinsia ya kiume wana-enjoy kutazama ....
Hata tusiokuwa na jisia tunaupenda pia...embu ukague tena kwa umakini huo utamaduni kisha useme kwa dhati kama kamoyo kupitia msemaji wa chini haujainua mabega juu!
 
Hata tusiokuwa na jisia tunaupenda pia...embu ukague tena kwa umakini huo utamaduni kisha useme kwa dhati kama kamoyo kupitia msemaji wa chini haujainua mabega juu!
Hata cku 1 ctakuja kuunga mkono mila hii ... NEVER
 
Hata cku 1 ctakuja kuunga mkono mila hii ... NEVER
embu vua na wewe shati kisha utuoneshe mila yako tujaribu kulinganisha na mila tajwa hapa juu ili tujue ni ipi ya kutokomeza kati ya kwako na ya kwake! Si unaona mila yenyewe saa sita?
 
Nyuchi za juu na nyuchi za chini ni zipi zina unafuu zikiachwa wazi ?
 
Back
Top Bottom