MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

Kuna baadhi ya makabila leo hii katika Tanzania yetu hii bado yamekumbatia MILA na DESTURI ambazo ni hakika zawadhalilisha dada na wadogo zetu wa kike .....

How comes mwamuweka binti eti KIGOLI kifua waziiiii "maziwa" nje kwa kila mtu kumuona?
Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, kama ni udhalilishaji mbona na wewe umekuwa wa kwanza kuja kutuonesha hii picha au huoni na wewe umeingia kwenye msitari mmoja na wadhalilishaji?
 
Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, kama ni udhalilishaji mbona na wewe umekuwa wa kwanza kuja kutuonesha hii picha au huoni na wewe umeingia kwenye msitari mmoja na wadhalilishaji?
Nashukuru kwa kuwa mmoja wa wachangia mada ili tujifunze pamoja .... kama ungepitia maelezo yangu ya awali ... ungekuwa tayari na jibu la swali lako
 
Leo unaona ni udhalilishaji, je kwa wayafanyayo madada wa mjini ni niini??
Madada wa mjini either ktk uvaaji wao tu ama wale wanaojiuza hiyo ni HULKA yao .... ni maamuzi yao wenyewe kuyaacha MAUNGO yao (maziwa, mapaja nk) wazi .....

But post yangu nlimaanisha MILA/DESTURI zinazowalazimisha mabinti kuyaacha MAUNGO yao wazi .... hapa namaanisha JAMII ndo inayowalazimisha kuwa hivyo
 
Back
Top Bottom