jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Tuna ubongo uliopungua ubora.Kuna baadhi ya makabila leo hii katika Tanzania yetu hii bado yamekumbatia MILA na DESTURI ambazo ni hakika zawadhalilisha dada na wadogo zetu wa kike .....
How comes mwamuweka binti eti KIGOLI kifua waziiiii "maziwa" nje kwa kila mtu kumuona?
kabla hujasema maneno meeengi jadili neno DHALILI
Mimi naona tumemtangaza ubora wake, na kweli yeye sii dhalili maana ni mrembo hasaaa na urembo wake sii kificho.
Labda kama una auto stigmatized brain.