MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

HAKUNA uzalilishaji mheshimiwa tatizo hizi western educationa tulizopata ndio zinatufanya tuacha kabisa mila zetu....babu zetu walikuwa wakifanya mambo hayo na enzi hizo hawakuona kabisa kama ni uzalilishaji...ila now a days nahisi yamepitwa na wakati. ndio maana uajasiri kwa vijana umetutoka kabisa
 
Sijui kiswahili fasaha lakini ukweli ndo huo ni sehemu ya udhalilishaji kijinsia.
Sasa hujui lakini unakomalia kulitumia neno usilolijua?
Hukukaba makoo walimu wako shuleni kweli wewe?
"Dhalili ni yenye ubora hafifu kwenye mlinganyo wa ufahari"

Binti ana maziwa bora kabisa kumuwezesha kuwa mama any time soon wewe unasema ni dhalili!!!
Utakuwa umetaihiriwa hospitali after all kama umebahatika.
 
Sasa hujui lakini unakomalia kulitumia neno usilolijua?

Hukukaba makoo walimu wako shuleni kweli wewe?
"Dhalili ni yenye ubora hafifu kwenye mlinganyo wa ufahari"

Binti ana maziwa bora kabisa kumuwezesha kuwa mama any time soon wewe unasema ni dhalili!!!
Utakuwa umetaihiriwa hospitali after all kama umebahatika.

Nimekuelewa ni unyanyasaji kijinsia
 
Nimekuelewa ni unyanyasaji kijinsia
Maziwa/manyonyo sio jinsia.

Huyo ni msichana, amekomaa kuweza kupata mtoto, viungo vyake vipo tayari.

Umwanamke wake hapo haujapunguziwa thamani yake bali umezidishiwa!!!!

Litakuwa ni jambo la ajabu sana ikitakiwa wakaishi mashimoni kuficha maungo yao ya kuvutia, na wanaovutiwa ni wanaume, kwa nini hao wanaume wasiwe na mipaka ya usakaji wa ridhaa ya mwenye viungo?!!

Msiitizame dunia kwa macho ya kiume mkataka iende kidumedume.

Au hamna chuo cha mafunzo ya kustahimili changamoto za maungo mazuri ya wanawake??

Sio kosa la akina mama, ni nyie wenyewe mmedharau JANDO.
 
Maziwa/manyonyo sio jinsia.

Huyo ni msichana, amekomaa kuweza kupata mtoto, viungo vyake vipo tayari.

Umwanamke wake hapo haujapunguziwa thamani yake bali umezidishiwa!!!!

Litakuwa ni jambo la ajabu sana ikitakiwa wakaishi mashimoni kuficha maungo yao ya kuvutia, na wanaovutiwa ni wanaume, kwa nini hao wanaume wasiwe na mipaka ya usakaji wa ridhaa ya mwenye viungo?!!

Msiitizame dunia kwa macho ya kiume mkataka iende kidumedume.

Au hamna chuo cha mafunzo ya kustahimili changamoto za maungo mazuri ya wanawake??

Sio kosa la akina mama, ni nyie wenyewe mmedharau JANDO.

Mkuu naona wewe ni mshabiki wa mambo ya jando. Bila shaka Binti zako huko nyumbani kwako wako free kiasi hata huna gharama ya kuwanunulia nguo za juu. Nakuachia ww mpenda utamaduni aina hii ila kwa upande wangu naona hoja zako zinaenda sambamba na tamaa za kimwili.
 
Mkuu naona wewe ni mshabiki wa mambo ya jando. Bila shaka Binti zako huko nyumbani kwako wako free kiasi hata huna gharama ya kuwanunulia nguo za juu. Nakuachia ww mpenda utamaduni aina hii ila kwa upande wangu naona hoja zako zinaenda sambamba na tamaa za kimwili.
Sentesi zako ndio zinaviashiria vya tamaa ya mwili.
Nimekwambia kuwa wanaume hatuna forum ya kutufunzia maadili ya kukabiliana na mihemko ya miili yetu na kuwaheshimu wa jinsia ya kike kuanzia umwanamke wao na uvutivu wa maungo yao.

Nimesema laiti JANDO lingeendelea ingeweza kuwa sehemu muhimu kufundana wanaume.

Tupia hoja mkuu acha generalization of ideas.
 
Sentesi zako ndio zinaviashiria vya tamaa ya mwili.
Nimekwambia kuwa wanaume hatuna forum ya kutufunzia maadili ya kukabiliana na mihemko ya miili yetu na kuwaheshimu wa jinsia ya kike kuanzia umwanamke wao na uvutivu wa maungo yao.

Nimesema laiti JANDO lingeendelea ingeweza kuwa sehemu muhimu kufundana wanaume.

Tupia hoja mkuu acha generalization of ideas.

Hoja yangu toka mwanzo nilisema siyo sawa kutupia picha namna hii labda umesahau.
 
Hoja yangu toka mwanzo nilisema siyo sawa kutupia picha namna hii labda umesahau.
Nimekwambia ondoa stigma kumukichwa kwa kuwa umepata bahati mbaya ya kukosa elimu stahiki ya kujivunia jamii yenye warembo kama huyo kwenye picha.
 
Nimekwambia ondoa stigma kumukichwa kwa kuwa umepata bahati mbaya ya kukosa elimu stahiki ya kujivunia jamii yenye warembo kama huyo kwenye picha.

Kimaadili najua wewe una elimu nzuri sana ya kujivunia urembo wa watoto wa wenzio jambo ambalo linauhusiano chanya na tamaa za kimwili.
 
Kimaadili najua wewe una elimu nzuri sana ya kujivunia urembo wa watoto wa wenzio jambo ambalo linauhusiano chanya na tamaa za kimwili.
Ninao mabinti wazuri na ni warembo, kwangu hao ni haramu yangu, sii haramu kwa wengine.
Kujua kuwa hiki ni halali kwangu au haramu ni package kwenye mafunzo JANDONI ( ambayo bahati mbaya sana kizazi kipya kinayakosa)

Na kwa hao walio na uhalali nao wanayo dhima ya nidhamu iliyotukuka kujaribu ku influence ridhaa yangu (mzazi)

Kwa mfumo huo hapatakuwa na mmomonyoko wa maadili uliopitiliza.
 
ab49dce583eb38c0587a4f63373e098f.jpg
sijaona udhalilishaji hapo
 
Leo unaona ni udhalilishaji, je kwa wayafanyayo madada wa mjini ni niini??
 
hakuna udhalilishaje wowote hapo,tukirudi miaka 50 (hamsini) nyuma lilikuwa siyo jambo la ajabu,.ilikuwa sehemu ya utamaduni wetu na watu waliheshimiana,huu ustaarabu wa mwarabu na mzungu ndio unauona mzuri?!,
Kwa nn utolee mfano wa miaka 50 ilopita na si wakati tuliomo sasa? ..... wadhani kila jambo (mila/destur) ya miaka 50 ilopita bado ni VALID/USEFUL leo?
 
Back
Top Bottom