Rudi kwenu Burundi 🇧🇮Mimi binafsi sizijui.
Yes ndio hivyoHata Korea Kaskazini wanasifu na kuabudu.
Usiangaike sana.Mila na desturi za Mtanzania ni zipi?
Mataifa yenye makabila mengi na dini nyingi nayo huwa na mila na desturi zake ?
Mkuu naomba utusaidie kwa ufupi tu mila na desturi za Mtanzania ni zipi?Rudi kwenu Burundi 🇧🇮
Umenena vyema mkuuUsiangaike sana.
Ukiskia mtu wa CCM anaongelea kuhusu mila na desturi ujue anamaanisha ukondoo wa mtanzania kutokuhoji na kumkosoa kiongozi hata pale ambapo kiongozi anaonesha kwenda kinyume na katiba na sheria.
Kwa kifupi ni ile hali ya mtanzania kuitikia ndio kwa kila jambo analoambiwa na mkubwa au kiongozi wake.
Post no 2 juu hapo uki scrollMkuu naomba utusaidie kwa ufupi tu mila na desturi za Mtanzania ni zipi?
Ni jambo ambalo hata mimi sijawahi kupata uelewa wowote zaidi ya kusikia tu vijiweni watu wakidai mara utamaduni wetu sijui uko hivi mara vile, lakini ile main point sijawahi kuifahamu kabisa.Huwa nasikia hii sentensi inasemwa sana mara kwa mara lakini sijawahi kuelewa hasa ni nini wanazungumzia wanaposema mila na desturi za Mtanzania.
Kusifu na kuabudu mamlaka right? 🤔Post no 2 juu hapo uki scroll
Nimesema kwa ninavyojua mimi ni kusifu na kuabudu
NB : ni mtazamo wangu binafsi
Ukiwauzila tu umetoka kwenye misingi ya mila na desturi.Umenena vyema mkuu
Yaani wakiiba kura wasiulizwe, wakiua. Na kuteka wasiulizwe, wakiiba na ufisadi wasiulizwe
Kaka sijafika hata 30 unatakaKusifu na kuabudu mamlaka right? 🤔
Ukweli ni kwamba hazijulikani kwa uhakika na hata zingejulikana, kutetea kitu kwa hoja ya "mila na utamaduni" ni logical fallacy ya "argument from tradition".Mila na desturi za Mtanzania ni zipi?
Mataifa yenye makabila mengi na dini nyingi nayo huwa na mila na desturi zake ?
Mtanzania hana mila wala utamaduni. Niambieni jamani je ni utamaduni gani umezaliwa mwaka 1964?Mila na desturi za Mtanzania ni zipi?
Mataifa yenye makabila mengi na dini nyingi nayo huwa na mila na desturi zake ?