M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Unajua siye wengine hapa ni CCM.
Lakini tangu misingi ya chama ianze kukiukwa baada ya Mwalimu JKN kuondoka (RIP mzee), sisi wana CCM asilia tumejikuta njia panda na imefikia mahala tumejikuta tunatamani chama chetu kiwekwe benchi na upinzani ili kiamke usingizini.
Ndiyo maana mnatusoma mara kadhaa humu jukwaani tuki sympathize na kambi ya upinzani, hususani chini ya awamu hii ya 5 ambapo tumeshuhudia katiba ikisiginwa wazi wazi na haki za binadamu zikikandamizwa.
Lakini nimejiuliza kuhusu mikutano 2 mikubwa ya Chadema (Baraza Kuu na Mkutano Mkuu) ikifanyika bila live media coverage. Wakati huo huo naona kesho mkutano wa ACT utakuwa na live coverage ya TV (ITV).
Ndiposa najikuta najiuliza mwenyewe.... Chadema wamekwama wapi kufanikisha hili ambalo wenzao ACT wameweza kufanikisha? Chadema waliomba wakakataliwa au hawakuomba kabisa? Kama walikataliwa ni kwa nini?
Na kama hawakuomba ni kwa nini?
These pertinent questions ni kwa nia njema kabisa ya kuondoa mzizi wa tatizo tunapoelekea October kwani hata sisi CCM baadhi yetu tunataka kuona upinzani unashika dola sasa, huku Tundu Lissu akiwa our new head of state.
CHADEMA Chadema Diaspora
Lakini tangu misingi ya chama ianze kukiukwa baada ya Mwalimu JKN kuondoka (RIP mzee), sisi wana CCM asilia tumejikuta njia panda na imefikia mahala tumejikuta tunatamani chama chetu kiwekwe benchi na upinzani ili kiamke usingizini.
Ndiyo maana mnatusoma mara kadhaa humu jukwaani tuki sympathize na kambi ya upinzani, hususani chini ya awamu hii ya 5 ambapo tumeshuhudia katiba ikisiginwa wazi wazi na haki za binadamu zikikandamizwa.
Lakini nimejiuliza kuhusu mikutano 2 mikubwa ya Chadema (Baraza Kuu na Mkutano Mkuu) ikifanyika bila live media coverage. Wakati huo huo naona kesho mkutano wa ACT utakuwa na live coverage ya TV (ITV).
Ndiposa najikuta najiuliza mwenyewe.... Chadema wamekwama wapi kufanikisha hili ambalo wenzao ACT wameweza kufanikisha? Chadema waliomba wakakataliwa au hawakuomba kabisa? Kama walikataliwa ni kwa nini?
Na kama hawakuomba ni kwa nini?
These pertinent questions ni kwa nia njema kabisa ya kuondoa mzizi wa tatizo tunapoelekea October kwani hata sisi CCM baadhi yetu tunataka kuona upinzani unashika dola sasa, huku Tundu Lissu akiwa our new head of state.
CHADEMA Chadema Diaspora