Mikopo ya watumishi ni kausha damu

Mikopo ya watumishi ni kausha damu

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
3,333
Reaction score
3,814
Mikopo ya watumishi wa umma kausha damu. Unakopa benki milioni 15, kinachoingia milioni 13 makato, milioni 32 haijalishi utalipa kwa muda gani, lakini hii ni kausha damu.
 

Attachments

  • Screenshot_20260817-120817.jpg
    Screenshot_20260817-120817.jpg
    47.4 KB · Views: 3
Mit 22:7 S
Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.


Kum 28:12
Atakufunulia BWANA hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.
 
Mit 22:7 S
Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.


Kum 28:12
Atakufunulia BWANA hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.
naanza kuhisi roho ya kukopa umaskini haitokani na MUNGU mana Mungu wetu ni tajiri,..hii Roho ya umaskini naanza na kukopa naanza kuona haitokani na Mungu
 
Back
Top Bottom