Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Ame-hint Pinda leo wakati akihitimisha bajeti yake. Mmoja utaitwa Njoluma, utahusisha wilaya za Njombe, Ludewa na Makete. Mwingine ni Simiu utakaogawanywa kutoka Shinyanga na mkoa wa Geita.
Pia kuna mipango ya kuanzisha wilaya mpya kama 20 hivi.
Pia kuna mipango ya kuanzisha wilaya mpya kama 20 hivi.