Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,971
- 4,141
Hakuna kitu kinachoitwa nyota kwenye kamari....huu ni mchezo wa probability ...tunadhani kuwa itakuwa hivi au vile ila wanaocheza ni wachezaji...na kuna vitu vingi vinaathiri huu mchezo.Kuna muda nafakali nabaki kujisonya tu,,,, hivi kweli nyota zetu ni chafu kiasi hiko kwamba vichwa vyote hivi tunakosa mechi nne tu japo tatu au nne za mitaji!!!
Kazi iko
Mfano Man City akicheza na timu inayoshika nafasi ya chini katika ligi...asilimia kubwa ya watu hudhani kuwa ataibuka na ushindi ila matokeo yanaweza kuja ya kushangaza ukaona man city kachezea