Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

jina lako la kuuza bando linanikumbusha tapeli mmoja muuza bando wa telegram anaitwa Grace Bundles, yule mjinga ikafikia stage group zima mpaka wajinga akashtukiwa ni tapeli. mpaka leo bado yupo tu hakomi.

betting imekuwa ngumu mpaka watu wanaanza kuwawinda watu baadala ya mikeka.
Yani humu Kila mkamaria ni Tomaso.!!

Izo postpaids mbona zipo kitambo tu na ndo zinawaweka wadau mtandaoni sikuizi?
 
wewe utakuwa mgeni kwenye betting, ndiyo unaanza kubet. ukishabet kwa muda mrefu utakuja kugundua kwamba hakuna muuza odds muaminifu, wote ni matapeli.

binafsi nikimwona admin wa group la kubet profile picture yake kaweka vitu vya luxury na mandhari ya kifahari, basi najua huyo ni tapeli wa kutupwa.

siku nyingine usinunue mkeka, hakuna mkeka sure
Ukiona mtu anatuma Hela aungwe kwenye group kwamba atapata odd za uhakika huyo ni TAHIRAAA.. hata elfu 1 usitoee bora ubetieee..! Anyway labda ni mgeni kwenye kubet pole yake.
 
HIi weekend imevaa bukta, picha lulikuwa clear kuanziq mechi ya B.Munich kuwa hii weekend ni don't touch.
Kuna watu toka B.Munich kachana wanaendelea rebet tu, ila ile mechi ya timu kubwa awali ilitoa ishara tosha kuwa hii weekend imevaa bukta.
Celtic shwaangi.
Club burge shwangiii haya mkeweke tena hela mamaee hakuna cha option ya magoli wala direct win
 
Back
Top Bottom