Washakua Wahuni me nilideposit toka tarehe 11 mpaka Leo Hela haijafika kwenye account yangu nikiwacheki wananiambia Nitumie email still mpaka Leo kimya ,kiujumla Hiyo Hela huipati tenaWakuu nimedeposit kama 25,000/= kwenye 1x bet Lakini Hela haijafika wananipa emails niwacheck Lakini hawajibu emails tokea asubuhi Hapo issue inakuaje? Yameshapita masaa kama 6 hivi
Hao jamaa ni wahuni na email Yao hawajibu. Ngoja nirudi tu kwenye sportybetWashakua Wahuni me nilideposit toka tarehe 11 mpaka Leo Hela haijafika kwenye account yangu nikiwacheki wananiambia Nitumie email still mpaka Leo kimya ,kiujumla Hiyo Hela huipati tena
Wape Leo, hawatakubali kuchapwa na timu mbovu kama EvertonMan utd chama langu tangu utotoni ila nawakataaga kwenye mikeka yangu
Jumanne tu hapo nimemuua kwa Galatasaray
Tumieni mawakala, kama hamtaki third part, endeleeni kubeti na betpawa huku kwenye options nyingi waacheni wengineHao jamaa ni wahuni na email Yao hawajibu. Ngoja nirudi tu kwenye sportybet
Wanarudisha hasara waliyoliwaYaani kipindi kile betpawa mikeka inasoma 20k 50k 100k 500k hata ukitiki mmoja tu hela unaiona siku hizi wamebana bonus hela huioni na inachana kisa option ngumu na kulazimisha odds kubwa ule bonus..
Unaweka under 3.5 ft ina odd 1.3 mpaka half time sassuolo na mumewe wameshatiana bao 2-2
kama ni m'bovu anapigwa tu hata asipotaka, halaf Everton sio mbovu labda morali ishuke kwa kukatwa point 10.Wape Leo, hawatakubali kuchapwa na timu mbovu kama Everton
Dah.... maneno ya humu huwa yananichekesha sana... kuna mda napitiaga tu comments nitoe stress za kuchanika kwa mikeka.Unaweka under 3.5 ft ina odd 1.3 mpaka half time sassuolo na mumewe wameshatiana bao 2-2
Timu za Denmark na Poland nilisha write off, huyo nordsjarlland ndo mbwa kabisa hata kuscore anashindwa, kule Poland kuna Legia hata haelewekagi.Hii timu Nordsjaelland hii ni mara ya tatu inanichania code zangu za maana! Mwishoni kabisa muda bookmarker anataka kuachia cash out
Hata over 0.5!?...
Sitakujaibetia hii timu over my dead body!!!...Hata ikicheza na ihefu!
Kweli mpira kuna wakati unakuwa na matokeo ya kikatili sana.
MtombagileUnaweka under 3.5 ft ina odd 1.3 mpaka half time sassuolo na mumewe wameshatiana bao 2-2
Wanaharbu mamboTotenham wanataka zamisha jahazi huku