Huu mtego mbona ulikuwa waziDakika ya 60 naingia live pale nakuta mechi ya Ligi ya Australia ipo 2-3 halaf naangalia under 6.5 goal ina odd 1.90 si nikaitaman nikajua hapa kanji lazima apasuke hapa..si nikaweka mpunga.. kilichonikutaaaa kweli nimeamini kanji huwa anayajua matokeo si bure mshenzi huyu! Mechi imetoka 4-3wanangu bet unachoweza kupoteza leo ningejichanganya nitie mzigo mrefu hapa ningelia na kusaga makende View attachment 2832955
Mi hata team iwe bora kiasi gani ikishakuwa away tu siiipi.Zrinjski anaua mkeka mapema kabisa
Makolo wako Facebook... Sio humu!Maelezo marefuu.Nilikwambia waone hawa Alphabet 2+ sure odds hutaki acha uendelee kupigwa kenge wewe
Wewe ni bingwa humu hayupo wa kukuzidi mpaka sasaMkuu fanya kuwafuata Telegram watumie screenshot ya mkeka na maelezo utalipwa haraka. Hizi kampuni wakati mwingine zina changamoto ya mtandao. Mfano angalia mimi tangu jana sijalipwa pesa, na mechi zote zimekubali. Nimesubiri tu na sijawatafuta naamini watalipa na sio Betpawa.View attachment 2833054
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Anaposema "Either half win home"Naomba Elimu ya hii option wakuu
BP.. A3C7901
kila mkeka wako unacheza wastani wa odds ngapi?Project Bombay 01 updates: Day 3
View attachment 2833096
Naona mshale wa faida unazidi kwenda chini... ila simuachi, kanji lazima arudi Bombay.
View attachment 2833098
Duu mkuu noma sana aiseeWakamaria never say never aisee.... Leo nilipigwa 100k na kanji mchana, epl za saa 11 half time nikacheza Liverpool apate goli 2 second half, fiorentina goal 1 second half, brighton goal 1 second half na Aston villa goal Moja 2nd half nikaweka 195,000/= aisee naangalia matokeo dakika ya 85 fiorentina tu ndo katoa, wengine hata goli hamna nikajua nishapasuka, naangalia dakika 5 mbele, nafungua akaunti ya meridianbet ndo hua naangalia matokeo huko nakuta akaunti inasoma 1.3M aisee magoli yote dakika za usiku
Nilikua nakunywa black and white hapa kubwa naenda tu nyumbani maana hii furaha itaniletea majanga tu...
Nachukua timu 5 au 6, huku target odds ni kuanzia 1.4 hadi 1.9 then natengeneza seti tofauti tofautikila mkeka wako unacheza wastani wa odds ngapi?
Hii option vipiAnaposema "Either half win home"
Anamaanisha katika dk 45 za kwanza ambayo ni half ya 1 ama za mwisho (ambayo ni half ya 2) timu ya nyumbani ishinde na sio droo.
Mfano. Man city anacheza na Tots.
Ukichagua hiyo option maana yake man city ashinde dk 45 zozote. yaani kama anapata goal moja bila sawa ama mbili moja sawa.
Hii inamaana timu yoyote unayochagua... hata kama kipindi cha kwanza itatoa goal moja tu kwa nunge na mpinzani akafunga magoal kumi kipindi cha pili basi mkeka wako utatik. Ama akifungwa magoal kumi kipindi cha kwanza ila cha pili anafunga moja bila moinzani wake kupata goal kipindi cha pili hicho basi umepata.
Hapo sasa ni wewe na kanji...Hii option vipi
Iko na ushindi au ndio ngumu kufanikiwa
BB4DC0E editedBP CB95CDE Odds 100+
BP 7539B53 odds 10
nadhan hii kaul si nzuri sana maana kilamtu anajaribu kushare mawazo yakeWakala wa kanji huyu
NO SURE ODDS×2Maelezo marefuu.Nilikwambia waone hawa Alphabet 2+ sure odds hutaki acha uendelee kupigwa kenge wewe
Hapana mkuu ni bahati tu inanitembelea sometimes. Mikeka mingi ninayoiaminia kabisa na kustake high inachana, nisiyo na uhakika nayo kabisa yaani 20/100 kuwin na unakuta nimestake low inawin. Mfano mikeka niliyostake low kuanzia jumamosi imenipa faida ya 1,700,000 ila niliyostake, High sijaambulia hata mia mbovu just imagine.Wewe ni bingwa humu hayupo wa kukuzidi mpaka sasa
Msimamizi wa ubashiri.... mbona huleti code??