Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Mamba ni nani?
Screenshot_20250829-165235.png
 
Ngoja nikupe ka-suggestion kidogo, mlokole wako inabidi uanze naye kumzoesha mwanga taratibu.

Siku moja ukianza kumuandaa kwa ajili ya mechi huko huko gizani, msifie mwili wake, viungo vyake na umwambie ungependa kuwa unaviona zaidi akiwa kitandani. Ukishasema hivyo, endelea na maandalizi, mpe dozi mlale.

Tafuta kataa kadogo ka mezani ambako unaweza kuongeza na kupunguza mwanga. Akija tena, umwambie ungependa mzime taa kubwa halafu yeye ajichagulie mwanga wa taa ndogo ambao yupo comfortable nao.

Hakikisha mara ya kwanza anakubali kwenye huo mwanga hafifu, unajitahidi sana kumsifia na kumfanya awe comfortable, akikuomba uzime taa katikati mkubalie, halafu next time mtawasha tena. Inabidi uwe mvumilivu na ujue kumchombeza, taratibu tu atazoea!

View attachment 3457149
🤣🤣🤣🤣 ila Binti wa zamani mtundu wewe idea yako ni nzuri, tumekua na utaratibu wa kutumia mwanga wa blue mpaka nimekua addicted nao na ndiyo mwanga anaofurahia mlokole wangu, tunafurahia maisha ya sex kwa uzuri kabisa utani mwingi maombi kabla ya tendo kwa kweli kanibadilisha sana🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom