Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Very true mlokole wangu naenda nae hivyo hivyo kuliko kukosa utamu kabisa🤣🤣🤣🤣
Ngoja nikupe ka-suggestion kidogo, mlokole wako inabidi uanze naye kumzoesha mwanga taratibu.

Siku moja ukianza kumuandaa kwa ajili ya mechi huko huko gizani, msifie mwili wake, viungo vyake na umwambie ungependa kuwa unaviona zaidi akiwa kitandani. Ukishasema hivyo, endelea na maandalizi, mpe dozi mlale.

Tafuta kataa kadogo ka mezani ambako unaweza kuongeza na kupunguza mwanga. Akija tena, umwambie ungependa mzime taa kubwa halafu yeye ajichagulie mwanga wa taa ndogo ambao yupo comfortable nao.

Hakikisha mara ya kwanza anakubali kwenye huo mwanga hafifu, unajitahidi sana kumsifia na kumfanya awe comfortable, akikuomba uzime taa katikati mkubalie, halafu next time mtawasha tena. Inabidi uwe mvumilivu na ujue kumchombeza, taratibu tu atazoea!

taa ndogo.jpg
 
Ngoja nikupe ka-suggestion kidogo, mlokole wako inabidi uanze naye kumzoesha mwanga taratibu.

Siku moja ukianza kumuandaa kwa ajili ya mechi huko huko gizani, msifie mwili wake, viungo vyake na umwambie ungependa kuwa unaviona zaidi akiwa kitandani. Ukishasema hivyo, endelea na maandalizi, mpe dozi mlale.

Tafuta kataa kadogo ka mezani ambako unaweza kuongeza na kupunguza mwanga. Akija tena, umwambie ungependa mzime taa kubwa halafu yeye ajichagulie mwanga wa kataa kidogo ambao yupo comfortable nao.

Hakikisha mara ya kwanza anakubali kwenye huo mwanga hafifu, unajitahidi sana kumsifia na kumfanya awe comfortable, akikuomba uzime taa katikati mkubalie, halafu next time mtawasha tena. Inabidi uwe mvumilivu na ujue kumchombeza, taratibu tu atazoea!

View attachment 3457149
Mimi mwenyewe nilikuwaga napenda vya gizani ila now days nimebadilika😅
 
Ila wewe ni muongo, hii ni ID yako ya tatu nakusikia unasema hivi 🤦‍♀️ :think3D:
Ni kweli Binti wa zamani , huwa natumia email za ambazo nakuwa hata sina access baada ya kufungua account. Na mie nina mzigo wa password inafikia kipindi ndio inakuwa kama hivyo nikabilisha tu device napoteza account haza ambazo hazinipi hata cent
 
Ukute mnapendana halafu anakua kama dj anaweka mziki katikati ana-pause anasema "nakupenda sana" anaachia ngoma dk 1 halafu anarudia "Mamtu we ndo vitu vyangu kabisa" halafu anaachia naishiwa PAWA iishe! Oyaa we Zombie😆😆
Mpaka kamwili kamesisimka 🤭😋
Au anakupa ile ya "maMtu we mtamu sana, mmmmmh nakupenda"
Hata kama miguu imechoka, unajikuta tu mwenyewe unapanua vizuri 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom