Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Angalieni msimuulize mtoto tumboni sasa🤣🤣
Aiseee huyu maza anapenda ngono jamn sijapata ona aiseeee an uwezi amini kila mda anataka..

Mpaka namwambia wewe vipi mbona kama unataka kuniua maaana ila sasa ukimkunja ile moja inaitwa ""konda kanibana"" aiseee anapiga kelele hzo mpaka nahisi anataka jifungua..

Mtoto awezi umia hata kidogo mkuu maana mtoto analindwa na maji aina ya amniotic fluid ambayo kazi yake kumlinda mtoto kutokana na mitetemo ile inayotokana mda wa show au spakooo
 
Aiseee huyu maza anapenda ngono jamn sijapata ona aiseeee an uwezi amini kila mda anataka..

Mpaka namwambia wewe vipi mbona kama unataka kuniua maaana ila sasa ukimkunja ile moja inaitwa ""konda kanibana"" aiseee anapiga kelele hzo mpaka nahisi anataka jifungua..

Mtoto awezi umia hata kidogo mkuu maana mtoto analindwa na maji aina ya amniotic fluid ambayo kazi yake kumlinda mtoto kutokana na mitetemo ile inayotokana mda wa show au spakooo
Huyo mmama akijifungua atambemenda mtoto siyo kwa misuguano hiyo😅😅
 
  1. Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera?

  2. Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje?

Mimi najitolea kusema kwa niaba ya wanawake, "wanaume tunapenda mkitoa hizo sauti zenu na mkigugumia na vile vibesi" jitahidini msitulombe kama mabubu. 



View attachment 3453022

Kwenye simulizi yangu ya mwisho ya “Utamu wa Tunda la kati” nilisahau kuzungumzia hili.
Moja ya vitu ambavyo yule kaka aliwazidi wengine ni kutoa ile sauti nzito ya kiume mambo yakinoga na kunichombeza chombeza. Moto aliokua ananipelekea tayari ulikua unanichanganya, ila ile mihemo na zile miguno ya "mmmh mamaaa" na sifa za hapa na pale vilinimaliza :uwotWater: . 




SOMO LA LEO: Sauti, vilio na miguno inanogesha tendo, siyo wanawake tu na nyie wanaume pia toeni, TUNAZIPENDA!

Ni hayo tu, Alamsiki!

CC:
Shyshka Reinhardt
...
 
Shikamooni wakubwa, natafuta pisi miaka arobaini mwisho hamsini na tatu ya kusukuma siku si ndoa romance za hapa na pale, kuhusu bills zangu NAjiTEGEMEA mwenyewe maana najiweza kiasi chake ovaaaaaaaaa
 
Natafuta pisi miaka 40 mwisho hamsini na tatu kwa ajili ya kuchati kujuliana hali kutembeleana ikiwezekana siri na vinginevo utavotaka si kuoana ni romance tu ovaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom